Mtangazaji Adam Mchomvu amwomba radhi JPM kwa kutompigia Kura mwaka jana

Mtangazaji Adam Mchomvu amwomba radhi JPM kwa kutompigia Kura mwaka jana

Nikekua nazijua nisinge hoji. Wewe mwenyewe hujui.

Kama unajua zitaje hapa.
haya Magufuli katwaa hekari 33 za waziri Sumaye ..wananchi wanajikatia maeneo
kama upo karibu na huna ardhi kachangamkie dili kuleeeee
 
amechoka na kazi ya utangazajia anatafuta ukuu wa wilaya na ukurugenzi boya huyu! si alishajua ukimsifia mkuu unapata cheo bwege sana huyu kama kayaongea hayo kweli
 
Yaani kila mtangazaji anataka awe DC , DED au DAS ..hakyamungu na hv vyeti ni kujitoa ufahamu tu ..mta pass wengi sana utawala huu...
 
Atapata nafasi bado zipo nyingi tu..
Inaeleweka birthday zote za magogoni huwa ni zao kwahiyo lazima ajambejambe kama hivyo
 
Hivi bado kuna wilaya hazijapangiwa wakuu wa wilaya au wakurugenzi!!?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Adam Mchovu ni mzalendo wa nchi hii
 
Ni vyema kuwa mkweli na muwazi....kuna kagenge kalitaka kuwapoteza vijana....good thing wameanza kujitambua
Halo ka hence kamebakiza mkia hapa JF, watu 6 wenye Id 30 kila mmoja!
 
Akizungumza kwa ' huruma ' kabisa huku akikaribia ' kulia ' Mtangazaji ' maarufu ' wa Clouds fm Adam Mchomvu wakati akitoa salamu zake za mwaka wa kuzaliwa wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amesema kuwa kiukweli mwaka jana hakuwa mmoja wa Watu waliompigia Kura ya Urais na kwamba Kura yake alimpa aliyekuwa Mgombea wa UKAWA Ndugu Edward Ngoyai Lowassa.

Mtangazaji huyo hakuishia tu hapo akaenda mbele na kusema kuwa ' anajuta ' ni kwanini hakumpigia Kura Rais Magufuli na kwamba anahisi pengine ' alirogwa ' na nguvu ya safari ya matumaini ambayo kimsingi imeshia tu katika ' kugoma ' na ' kuandamana '.

Mwisho kabisa Mtangazaji Adam Mchomvu akasema kuwa kwa Kipindi hiki tu cha mwaka mmoja ameona mambo makubwa ambayo ana uhakika kabisa kuwa aliyekuwa Mgombea wa UKAWA Ndugu Edward Lowassa asingethubutu na hata kuweza kufanya hasa kutokana rekodi yake ya ' wasiwasi ' dhidi ya rasilimali za nchi alizonazo.

Kama kawaida yake Mtangazaji Adam Mchomvu huwa hana ' Unafiki ' na akamalizia tu kwa kuwataka Watanzania wote wamuunge mkono Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli kwani alichokifanya tu kwa mwaka huu mmoja ni kikubwa na kwamba miaka minne ijayo Magufuli ataifikisha Tanzania kule inakotakiwa kufika hasa Kimaendeleo.

Binafsi kama GENTAMYCINE nichukuwe fursa hii kumpongeza kabisa Mtangazaji Adam Mchomvu kwanza kwa kuwa ' muwazi ' na ' mkweli ' na pia kuweza kumpongeza Mheshimiwa Rais kwa Uongozi wake lakini na Watu wengine hasa wale Wana UKAWA hasa CHADEMA nanyi pia igeni hii busara na hekima aliyoionyesha mwenzenu mwana CHADEMA ' kindakindaki ' Adam Mchomvu na nyie mkubali ' Kazi ' za Rais wetu na ikiwezekana si vibaya hata mkizichana chana tu hizo Kadi zenu za CHADEMA na mrejee rasmi CCM kwani CCM ya sasa chini ya Rais Dkt. Magufuli ' imetakata ' na ' mwendo mdundo '.

Happy Birthday Rais wangu Mpendwa na Mkombozi wa Watanzania ' wanyonge ' na ' fimbo ' ya ' mafisadi ' na ' wavivu ' Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli. Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu, akulinde, akubariki na akupe afya njema.

Akhsante Adam Mchomvu kwa ' kuthubutu '.
We jamaa ni muongo hakumtaj lowasa hakutaja safari ya matumaini hakutaja ukawa.
Mengi uliyoandika hakuyasema.
Kweli tz kuna viwanda vya uongo
 
Alipoona mh mkuu wa wilaya hudson kamoga kapata shavu nae anajifanya kujipendekeza...

Kwan hakuona hiyo kula ya magufuli
 
Ni kweli maana ndani ya mwaka mmoja wahitimu wa vyou mbali mbali hawana ajira... Sasa ikifika miaka mitano ni wangapi watakua hawana ajira...
 
Back
Top Bottom