Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,141
- 3,838
Maisha bila unafiki hayaendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu yule DJ au maanaHaihusiani na siasa ....!
Hivi mwenyekiti wenu ana cheti cha taaluma gani?
Kweli lkn na mimi niseme tu kua Ku quote post yote nayo ni zaidi ya ukichaaNjaa mbaya jamani!
Acha kujipendekeza kwa mwanaume mwenzie
Niseme tu kutojitambua nao ni wendawazimu.
Ujenzi wa uwanja wa michezo Dodoma na ujenzi wa msikiti Mkubwa jijini Dar.Hivi JPM kafanya nini mpaka sasa hivi?
Ujenzi wa uwanja wa michezo Dodoma na ujenzi wa msikiti Mkubwa jijini Dar.
Siku hizi Mambo yamebadilika wanaume nao wanajitongozeshaKweli lkn na mimi niseme tu kua Ku quote post yote nayo ni zaidi ya ukichaa
Kaulize wizarani huko ndipo wanatunza kumbukumbu na ndio kazi CCM walionayo toka nchi iwe chini ya chama hikiHaihusiani na siasa ....!
Hivi mwenyekiti wenu ana cheti cha taaluma gani?
Angetakiwa kuomba radhi kwa kuvuta bangi na shisha mixed..Anajua nini huyu....?
Shida: Dawa mahospitalini hamna, mikopo kwa wanavyuo shida, Ajira hakuna, Mishahara kwa watumishi imecheleweshwa miezi sasa, Teaching aids zero natamani kuendelea ila nawaachia wadau wengineIla angalau kajitambua na kuthubutu kusema ukweli na sasa mtabaki nyie tu ' mangumbaru ' msiojitambua. Hivi next strategy yenu CHADEMA ni ipi kwani naona zote kila mkizianzisha tu zinazimwa ' ghafla ' na ' utendaji ' wa ' kutukuka ' wa MWANAMUME Rais Dkt. Magufuli.
Truekama ikitokea uchaguzi ukarudiwa kesho still sitamchagua huyo 'ngosha' wenu
HahahaaaHivi bado kuna wilaya hazijapangiwa wakuu wa wilaya au wakurugenzi!!?
Sura yake ya ' huzuni ' aliyokuwa nayo wakati anasema huo ukweli wake ulitosha tu kuwa ' ushahidi ' kamili kuwa amejutia kitendo cha kutompigia ' kura ' Rais Dkt. Magufuli mwaka jana. Je ulikuwa unataka ushahidi gani tena? Hivi na Wewe nikikuambia kuwa leta ' Ushahidi ' hapa kama ni kweli Mgombea wenu Edward Lowassa alijipigia ' kura ' mwenyewe unaweza kuuleta? Kwani kuna ' tetesi ' au za chini ya ' kapeti ' pia kuwa Lowassa japo alikuwa anautaka Urais ila kwa Mapenzi na Imani yake kwa Magufuli alimpigia ' Kura ' badala ya kujipigia yeye mwenyewe.