Kwa nini sasa kamvisha pete? Hao ni mke na mume tayariKatika hali ambayo haikutarajiwa na wengi mtangazaji mashuhuri nchini Hamis Mandi aka Bdozen ambaye kwa sasa anatangazia kituo cha redio cha E-FM amemvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi aitwaye Faudhia.
Hii ni baada ya kuweka mahusiano yao private kwa miaka mingi sana.
Nyumba ya urithiAliuza mali gani ya mamaake?
Ila sasa kama wapo kwenye mid 30 ni mbaya...ikiwa hivyo wavue pete tu japo masuala ya ndoa ukiyataka lazima uwe na imani na kumhamasisha mwanaume akuoe mana wengine ni mpaka uwashtue wakikuvalisha pete wanaona wamemaliza kila kitu.Wako disappointed na frustrated asee
Kweli wanawake wa Sahiv hawataki utaniNa mimi almanusura iote kutu, nikambutua miteke jamaa akanyoosha mwenyewe goti church , sitakagi ujinga mimi
Inabidi pete ikitua tu kidoleni, mdada fanya process za ndoa fasta, akikinai utamu imekula kwakoHalafu shida nyingine ni kwamba unakuta mdada analilia Pete tu kila wakati ni kulia lia huku mwanaume hajajipanga kumuweka ndani basi wanaamua kuwavalisha halafu mwanaume anapita hivi
HalafuNyumba ya urithi
Ni mwendo wa mingumi na miteke kama ya ebitoke, ndo akili inamkaa sawaKweli wanawake wa Sahiv hawataki utani
Sijui.Halafu
Sasa hiyo laana unayoizungumzia hapo imekujaje?Sijui.
Kama hii hapaSasa hiyo laana unayoizungumzia hapo imekujaje?
Ok okKama hii hapa
Hahahah mtajipanga huko huko eeh 🤣🤣🤣Inabidi pete ikitua tu kidoleni, mdada fanya process za ndoa fasta, akikinai utamu imekula kwako
Uchumba na ndoa hapohapo sio sijui sijajipanga, tutajipanga ndani humo humo
Kweli Kabisa, wabongo sioInabidi pete ikitua tu kidoleni, mdada fanya process za ndoa fasta, akikinai utamu imekula kwako
Uchumba na ndoa hapohapo sio sijui sijajipanga, tutajipanga ndani humo humo
Majjizo and Company😂Naona nyingi zikishaingia vidoleni zinapata hadi kutu, wadada wa3 nawafahamu mwaka wa sita huu
Sijui kwanini
Kwa nini sasa kamvisha pete? Hao ni mke na mume tayari
Hahahahaha! Sasa utajipanga Vp wakati bado hali tete jamaa hajakaa vizuri financiallyInabidi pete ikitua tu kidoleni, mdada fanya process za ndoa fasta, akikinai utamu imekula kwako
Uchumba na ndoa hapohapo sio sijui sijajipanga, tutajipanga ndani humo humo
😎😎Tusipangiane maisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sema mke na mke!
Avishe au avishwe?Millard ayo nae afuate