Mtangazaji Bhoke wa EATV umezidi kutuonesha kitovu

Hii ni kama siasa majitaka.hiwezekani page ya pili hii hakuna picha ya kitovu..ni aibu watu wazima kujadili hewa
 
Sinaga muda wa kuangalia hicho kipindi cha hao Malaya kwanza hakifai kuangalia wanaume
 
Wow! Kumbe kipindi kina impact mpaka Mzee baba uvumilivu umekushinda! Safi sana! Hua nacheka sana kila nikimskiliza mwa4! Big up dadaz!
 
Hebu weka picha inayoonesha kitovu chake, tuone kama kinafaa kuonekana au kipo kama honi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni wapi uliwahi ona msichana mwenye kitovu kama kibuyu akavaa 'crop top' ? Msichana akiwa mrembo Na anajiamini kwanini asivae akapendeza?? Mtoa mada ana zile hoja za kuvutiwa Na MTU mpaka ameamua kumsifia kiaina! Big up Bhoke! U rock!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…