Jurrasic Park
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 3,801
- 6,806
Huyu dada poa sana napendaga nimuonege tu kwa TV ila asijirembe saaaana anakuwaga mzuri sana hasa akiwa nje ya studio
HUYO FARHIA AMEOLEWA AU BADO?? MWAMBIE NAMTAFUTA HATA KAMA AMEOLEWA TUTAONA CHA KUFANYA.
usijifunze dhambi ni mbaya...ππππUtafanya fanyaje mkuu,,,embu nipe uzoefu ni mm nakanyofoe kamtu kamoja mahali flani hivi,
usijifunze dhambi ni mbaya...ππππ
Azam tv taarifa yao huwa lini?saa ngapi?