[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mlitaka vyombo vyake vya habari vifungiwe?? Heri mmoja kufukuzwa kuliko 10 kupoteza ajira
Wewe nahisi utakuwa na vinasaba vya kike ...kushutumu na kuhisihisi wenzao mambo ambayo sio mazuriHivi kuna wanaojiita wanaume huku wakijiita team mange Malaya?
Kibarua chake mawingu kimekuwa historiaKafanyaje mkuu?
Kwa Bongo ni ngumu Kwa Mwenye Akili kubwa kufanya kazi na kudumu Kwa mwajiri Mwenye Akili ndogo. Ruge ni msaka tonge tu ndiyo maana kanyanganywa Demu.
Acha uzwazwa kapigwa stop tokea majuzi yamebumburuka sababu yakupigwa stop ni kudiscuss issue ya lisu while wamekatazwa watu wamemblast ruge na clouds ndo uyo Sam akajilete na iyo news kufunika what happenedSio kweli hajafukuzwa ni uzushi tu samsasali anasema atakuwepo jumatatu na waziri wa viwanda