Mtangazaji Clouds TV afukuzwa kwa kutangaza habari za Tundu Lisu

hahahaha TANAPA wanajifanya huu uzi wameusahau....
 
Kuna siku yule Bantu wa jahazi alitoa kauli ya kijinga. Hapo hapo nikaacha kusikiliza clouds mpaka Leo.
Tunajua mnamsapoti magufuli lakini msidhani wote sisi ni CCM. Msizidishe mapambio. Inakuwa kero
 
Clouds ndo zao kujipendekeza, walivyovamiwa walijidai kuwa pamoja na wananchi Leo wameota mapembe yatawakuta mengine tu
Ni kweli kabisa mkuu! Hii media ni pasua kichwa ya hali ya juu!
[emoji78] [emoji78] [emoji78]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…