Mtangazaji Clouds TV afukuzwa kwa kutangaza habari za Tundu Lisu

Mtangazaji Clouds TV afukuzwa kwa kutangaza habari za Tundu Lisu

Kila siku anajifanya kushangaa vijana wanaotafuta ajira uku akitoa mifano ya namna ya kuwa mjasiliamari,ili aishi maneno yake naye atumie hii changamoto ya kutimuliwa kama fursa naye awe MUMANTA ajiajiri
 
Ruge Hongera sana
Kutwa Lissu Lissu nani kwa taifa hili!
Mamboengine ujinga mtupu
watanzania wangapi wamelazwa mahospitalini Lissu Kawa nani Hasa!
 
Ruge Hongera sana
Kutwa Lissu Lissu nani kwa taifa hili!
Mamboengine ujinga mtupu
watanzania wangapi wamelazwa mahospitalini Lissu Kawa nani Hasa!
Poleni kwa mipovu, sinema ya ikulu majuzi imebuma, hakuna cha dola milion 300 wala tshs trilion 400!?
 
Ruge Hongera sana
Kutwa Lissu Lissu nani kwa taifa hili!
Mamboengine ujinga mtupu
watanzania wangapi wamelazwa mahospitalini Lissu Kawa nani Hasa!
Tutasema sanaaaa mpaka mpasuke !! Kama mnaweza pigeni risasi Tanzania nzima. Malofa nyie wakuongoza kazi kujaza maprofessor ikulu ili kutengeneza sinema za kulanghai wananchi Pumbavu.....!!!
 
Kila siku anajifanya kushangaa vijana wanaotafuta ajira uku akitoa mifano ya namna ya kuwa mjasiliamari,ili aishi maneno yake naye atumie hii changamoto ya kutimuliwa kama fursa naye awe MUMANTA ajiajiri
Hassan anamili Chuo wewe hategemei ugali wa ruge.
 
Kutokujua kitu haaminishi si kweli Kwa sababu hujui la hasha,
Hii lipoti imekaa kiushabiki wa kisiasa Sana nahisi atakuwa kuna kitu kamkosea mwajili wake sio habali ya tundu lisuu ndio sababu ya kusimama I still have a faith with ruge in matter of professional
 
Hivi kuna wanaojiita wanaume huku wakijiita team mange Malaya?
Mimi na baba yako ni timu mange vya kufa mtu na tunahamasisha watu mtaani kwetu wamfolou ...kila nikikatiza town na kukutana mtu katoka dukani kununua simu mparazo ,namuunganishia kifurushi cha intaneti na kumwambia watu wa kuwafollow wa kwanza ni mage...
Halafu ulivyo lipumbafu wewe mwenyewe umemfollow ...kujidai tu na kiaidi chako feki humu...
 
Kutokujua kitu haaminishi si kweli Kwa sababu hujui la hasha,
Hii lipoti imekaa kiushabiki wa kisiasa Sana nahisi atakuwa kuna kitu kamkosea mwajili wake sio habali ya tundu lisuu ndio sababu ya kusimama I still have a faith with ruge in matter of professional
...matokeo yametoka,
..vipi umefaulu?
 
Una uhakika kama hicho Chuo chake sasa kinafanya vizuri au kinaendelea vizuri? Siku nyingine muwe mnaacha Kukurupuka.
wewe ndo uache kukurupuka na Wala usidhani kwakua wewe umemfahamu Juzi basi kila mtu kamfahamu Juzi .
 
Back
Top Bottom