Mtangazaji Didah Shaibu amejiunga na Wasafi FM

Mtangazaji Didah Shaibu amejiunga na Wasafi FM

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Mtangazaji maarufu wa Times FM, Didah Shaibu amejiunga na Wasafi FM na leo atatambulishwa rasmi.

B71469C3-02CF-4D2D-B6F0-58BFB22A7DE9.jpeg


Watu wengi tuliona tokea mwanzo ikiwemo me muda si mrefu Didah atatua Wasafi hii ni kwasababu Diamond amekuwa na urafiki wa karibu Sana na Didah Shaibu for a long time hata events nyingi za Diamond anamuita Didah kuwa MC ikiwemo ile 40 ya mtoto wa Diamond, Naseeb Abdul Jr iliyofanyika mwaka Jana.

Ukiachana na hilo pia Diamond amekuwa akimuungisha kwa kununua nguo kwa Didah Shaibu mara nyingi hata baadhi ya nguo alizovaa kwenye baadhi ya show ya tamasha lake la Wasafi amenunua kwenye duka la Didah.
 
Nina taka kujua mwingine ni akina nani Kwasababu toka Jana usiku wasafi wana post kuwa jumatatu kuna tukio kubwa .


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nina taka kujua mwingine ni akina nani Kwasababu toka Jana usiku wasafi wana post kuwa jumatatu kuna tukio kubwa .


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa tetesi nilizopata Kuna Jambo kubwa watalifanya tofauti na kutambulishwa kwa Didah shaibu ndomaana promo imekuwa kubwa.
 
Nao utakuwa utambulisho wa ndege


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
umewasahau Soudy Brown na Diva kuwajumuisha, za chinichini hiyo ni suprizeee!!!
 
Mtangazaji maarufu wa Times FM, Didah Shaibu amejiunga na Wasafi FM na leo atatambulishwa rasmi.

View attachment 1353099

Watu wengi tuliona tokea mwanzo ikiwemo me muda si mrefu Didah atatua Wasafi hii ni kwasababu Diamond amekuwa na urafiki wa karibu Sana na Didah Shaibu for a long time hata events nyingi za Diamond anamuita Didah kuwa MC ikiwemo ile 40 ya mtoto wa Diamond, Naseeb Abdul Jr iliyofanyika mwaka Jana.

Ukiachana na hilo pia Diamond amekuwa akimuungisha kwa kununua nguo kwa Didah Shaibu mara nyingi hata baadhi ya nguo alizovaa kwenye baadhi ya show ya tamasha lake la Wasafi amenunua kwenye duka la Didah.


sema TIMES FM kuna sehemu wana feli sana, japo wako Imara ila huwa wanapoteza vipaji vingi sana
 
Back
Top Bottom