Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Kina kwisa mzee mkavu na Kennedy mbana puaMkuu dau lililopo Wasafi ni Kuwasaini akina Juma Lokole [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kina kwisa mzee mkavu na Kennedy mbana puaMkuu dau lililopo Wasafi ni Kuwasaini akina Juma Lokole [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona kweli umekereka Mkuu, wamekukeraa na Juma lokole [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kina kwisa mzee mkavu na Kennedy mbana pua
Labda huko kwenu mkatyoka hawajaleta frequency [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Cha ajabu mimi sijawahi ku-tune wasafi fm sijui ni kwa nini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]hapana bossNaona kweli umekereka Mkuu, wamekukeraa na Juma lokole [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Samahani,wewe ni Mina Ali?
dogo skia nikuambie,kwa taarifa yako Millard anaonekana karibia kila siku wasafi head quarters kuna program anafanya kwa hiyo hili la yeye kwenda huko haliwez kuwa jambo la ajabu sana kikubwa ni maslahi....usikariri maisha utafeli.Millard Siyo Mjinga aende kwenye aachane na Media Kimataifa kama CMG Aende kwenye Local Media ambayo inasikika mkoa mmoja
kama unasikika mikoa mingi na huna hela faida ipo wapi! mwache akatafute mpunga!!Hayo ya kwako, watu wanaangalia masrahi.
Nimeshangaa sana kidogo nidhan mleta maada ni hance mtanashati!!Yaani mtu unajua mpaka mondi Nguo alizovaa kanunua wapi..!
Huu ushabiki too much
sasa hiko kipindi watangazaji wote wawili walikuwa Times, huyo mshkaji ndio walimtema kitambo yaanihata lil ommy ane watampoteza very soon
ommy
Vyeti ni makaratasi tu mkuu watu wanavifyatua magetoni tu kwenye pcWafanye usajili ila wakae wakijua,mwakani kila mwandishi wa habari na watangazaji wanatakiwa wawe na certificate ktk field za utangazaji na uandishi wa habari.
Ila Dida cheti anacho kutoka DSJ ,sijajua wengine na Mwakyembe katangaza kuanzia mwakani hamna janja janja kama huna cheti kwenu.
Aisee
Hivi hii ngoma unatakiwa kuwa na certificate au kuanzia diplomaWafanye usajili ila wakae wakijua,mwakani kila mwandishi wa habari na watangazaji wanatakiwa wawe na certificate ktk field za utangazaji na uandishi wa habari.
Ila Dida cheti anacho kutoka DSJ ,sijajua wengine na Mwakyembe katangaza kuanzia mwakani hamna janja janja kama huna cheti kwenu.
Sawa ila serikali hii siyo ya miaka ya nyuma,nina wanangu kibao wapo kitaa vuguvugu la vyeti bandia liliwawakuta.Vyeti ni makaratasi tu mkuu watu wanavifyatua magetoni tu kwenye pc