Mtangazaji Didah Shaibu amejiunga na Wasafi FM

Mtangazaji Didah Shaibu amejiunga na Wasafi FM

Hivi hii ngoma unatakiwa kuwa na certificate au kuanzia diploma
 
Wadanganye Watoto wa huko Usafini, Kwa mnavyopenda Misifa Mngekua Mmesha share Mipicha kwa viherehere Mlivinavyo
dogo skia nikuambie,kwa taarifa yako Millard anaonekana karibia kila siku wasafi head quarters kuna program anafanya kwa hiyo hili la yeye kwenda huko haliwez kuwa jambo la ajabu sana kikubwa ni maslahi....usikariri maisha utafeli.
 
Wadanganye Watoto wa huko Usafini, Kwa mnavyopenda Misifa Mngekua Mmesha share Mipicha kwa viherehere Mlivinavyo
sina haja ya kubishana na wewe chalii,nimekupa taarifa ni juu yako kukubali au kukataa...hizi mambo hazitakagi ujuaji.
 
Usifananishe Azam na Wasafi...Azam ni taasisi inajitegemea yenyewe haimtegemei mtu kujiendesha ,Wasafi bila diamond haina tofauti na kijiwe cha kahawa.
Ilikuwaje Charles Hilary kuondoka BBC idhaa ya Kiswahili na akakubali kujiunga na Azam Media? Hata Baruan Muhuza?
Mwisho wa yote ni maslahi ndio yanamuamisha mtu kutoka eneo moja kwenda jingine na sio zaidi ya hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usifananishe Azam na Wasafi...Azam ni taasisi inajitegemea yenyewe haimtegemei mtu kujiendesha ,Wasafi bila diamond haina tofauti na kijiwe cha kahawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubali Wasafi bila diamond ni mfu lakini lazima ujue mtu anaama kituo kimoja kwenda kwingine kwa maslahi ndio maana Ahmed abdala kaama Azam kaenda Wasafi ni hivyo hivyo kwa redio zote.Watangazaji wote wanaangalia maslahi kwanza.
 
Back
Top Bottom