GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Huenda kutokana na Kumpenda na kutotaka Mumewe / Mpenziwe huyo asihangaike na Wanawake Wengine anaenda huko kwa Waganga wa Kienyeji Kumroga atulie nae tu na waweze Kulea Familia pamoja hivyo hata Mimi naungana nao kwenda huko"
Chanzo Taarifa: Radio One Mazungumzo ya Familia leo
Haya Wanaume mnaorogwa / tunaorogwa tuwe Wavumilivu tu tafadhali kwani kwa mujibu wake Dada Farhia Middley ni kwamba Hawaturogi kwa Ubaya ila ni kwa Uzuri tu kwamba tuendelee kuwa Mabwege ( Hopeless ) na Mapopoma ( Fools ) dhidi yao na tusahau kabisa Kuhangaika na Mbunye zingine Tamu kuliko zao.
Chanzo Taarifa: Radio One Mazungumzo ya Familia leo
Haya Wanaume mnaorogwa / tunaorogwa tuwe Wavumilivu tu tafadhali kwani kwa mujibu wake Dada Farhia Middley ni kwamba Hawaturogi kwa Ubaya ila ni kwa Uzuri tu kwamba tuendelee kuwa Mabwege ( Hopeless ) na Mapopoma ( Fools ) dhidi yao na tusahau kabisa Kuhangaika na Mbunye zingine Tamu kuliko zao.