Kapokapo tu kazi kutangaza habari za chademaa....yule wa mbeya nani sijui lengwa hata kuvaa hajui leo kavaa jitisheti baaya lina maandishi andishi halafu chafu aibu kabisa itv kuwa na reporter kama huyu asiejijali...of all somebody Bichwa wa Rwanda ndie ana endosment yangu
Alfred Masakooooo itv!.
Kwani Mwaipaya ni ripota?Hakika Abdallah Mwaipaya na yule sista wa kishombeshombe wananipa brdaniiii
Haha anaongea kinoko noko.Saimon kabendera, anaongea kama ana maji mdomoni
Anaboa aisee...afu sauti yake ina ugumu kutamka "S" ndo mnaita kithembe thio?Rehema Kindole pia duu akianza kuongea nazima kila kitu hadi Friji
Mnajaribu kuiinua Tv yenu baada ya kufulia.bila ubishi taarifa ya habari ya kituo cha itv ya saa 2 usiku kila siku ndio inayoongoza kwa kuwa na watazamaji wengi hapa nchini kuliko ya vituo vingine vya televison, sasa je ni reporter gani anakuvutia pale anaporipoti habari yake? mimi navutiwa na Mabere Makubi na Fortuna Suleiman.