Mtangazaji gani wa TV anaye kuvutia hapa Tanzania?

Julieth Roberts,daaah ananimaliza huyu mdada,Habari si Habari tena kama haikusomwa na yeye..,na hata Dinner si dinner tena nisipomwona yeye.,Msaada kwenye Tuta mwenye namba ya yeye..,aniPM tu awe Wifi n a Shemeji yenu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wadau nafikiri tugawe hawa watangazaji kwenye makundi mawili ya TV na Radio. Tuweke mwisho wa kupendekeza mtangazaji bora na mshindi ajulikane kama kuna uwezekano uongozi wa jamii forums umpe cheti kutoka jamii forums kutambua mchango wake.
 
Wadau nafikiri tugawe hawa watangazaji kwenye makundi mawili ya TV na Radio. Tuweke mwisho wa kupendekeza mtangazaji bora na mshindi ajulikane kama kuna uwezekano uongozi wa jamii forums umpe cheti kutoka jamii forums kutambua mchango wake.
Wazo zuri sana.... tunalifanyia kazi chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…