Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Prezda huwa anaangalia hiko kipindi chao cha asubuhi (alishawahi kuwapigia simu clouds tv 360 ) kwahiyo amemfuatilia akaona labda anatosha.Yule Mzee sjui anatumia jicho gan kuwaona hawa watu na kuwapa uteuzi
What Smartness are you talking bout?Jamaa yuko smart.. hope atafanya kazi vzur
What Smartness are you talking bout?
Yani mkuu hii nchi ni shamba BibiKwa uelewa wangu mdogo...hizi nafasi za uteuzi kwanza mara nyingi hutokea ndani ya utumishi wa umma..
Na huteuliwa wale watumishi seniors na principals
Ambao huwa na experience ktk managerial level of not less than
10 yrs
With at least master's degree maana kufika usenior ama uprincipal lazima uwe na master's degree
Sasa huyu bwana mi sielewi kama hizo sifa anazo..wenye kujua mtufahamishe