Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,635
- 4,160
Nimekutana na taarifa hizi za huyu Kaka'etu kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mbulu.
Zina ukweli wowote au ni propaganda feki tu za mtaani?
Kama ni kweli,
Hongera sana kwake.
Nasema hivi,
muda si mrefu ndugu zangu #Adam_Mchomvu na #Sudi_Brown wakikaza watapata vitengo tu awamu hii,
Maana Maana Hakuna Namna Nyingine Sasa!
Eeeeh!
Zina ukweli wowote au ni propaganda feki tu za mtaani?
Kama ni kweli,
Hongera sana kwake.
Nasema hivi,
muda si mrefu ndugu zangu #Adam_Mchomvu na #Sudi_Brown wakikaza watapata vitengo tu awamu hii,
Maana Maana Hakuna Namna Nyingine Sasa!
Eeeeh!