Mtangazaji Ivona Kamuntu

Unajuaje km anayo mengi au ameingia mkataba na wauzaji wa hayo magauni awatangazie biashara?
 
Muhimu cha kubadili kila siku, na kila mda ni "kufuri"....hayo mengine itakavyokuwa
 
Usikute hata chakula anakula cha aina moja....but who cares?
 
huwa anapenda kuvaa nguo za vitenge ambavyo juu mishono ni kama inafanana....ki ukweli huwa anaonekana yuko too informal.
tatizo sio vitenge tatizo mishono anayoshona....mbona wabunge wengi tu wanavaa vitenge na wanapendeza!!! ni kwa sababu wao wanashona kiofisi
 
pengine ni nguo tofauti zinafanana rangi
ila ili la kuchaguliana ngu za kuvaa ni uswhili jaman
 
Amezoea mambo ya star tv huko usukumani mwanza
 
Mleta Uzi wewe ni mpuuzi kweli,
Labda nikukumbushe tu kuna watu wanashona nguo ya rangi moja,mtindo mmoja kwa wingi kadiri apendavyo.
Mfano jirani yangu utazitambua siku anafua .
 
Kwani does it make money akivaa nguo moja....NO
Does it loose money kwake....No
If it doesnt make money...it doesnt make sense
If it doesn't loose money kwake....no sense.
Vaa hata magunia mama!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…