Unaangalia taarifa au gauni?Mtangazaji wa Taarifa ya habari ya Azam two, Ivona Kamuntu jitahidi ubadilike kwani unatuboa sisi watazamaji wako wa taarifa ya habari. Umekuwa na tabia ya kurudia rudia hilo gauni lako la kitenge kama vile huna nguo nyingine. Badilika kwani ujue Azam Two inaangaliwa mbali sana hivyo unawaaibisha waajiri wako. Mnaofatilia Azam news ya Azam two mtakuwa mmenielewa.
Naamini ujumbe wangu umefika.
Anayo mengi sema ni aina moja..
Ila tuache utani Ivona kama m cute alivyohamia azam TV Dar ni Dar jamani.
Wakati yupo starTv mie nilikuwa naona kama ana umri wa kustafu.
Tena inamtoa chichaaaaa....
Hivi huyu mrembo ameshaolewa? Namkubali sana tangu Star Tv
Zamaani na sasa hivi ananyonyeshaHivi huyu mrembo ameshaolewa? Namkubali sana tangu Star Tv
Kwani muajiri wake hamuoni. Mbona jua kila likitoka halibadiriki na unalifurahia? Jaribu kujali taarifa anazokuletea badala ya muonekano wake.penda sana mimi Ivona
labda ndio sare yake ya kaz je
Kiukweli mi yule mdada jinsi alivyo natamani asivae nguo kabisa hasa zile boobs! Na hips zake yaani jumlaMi napenda awe anavaa hilo hilo kila siku
Kamintu hana exposure kabisa,Yani gauni lake la kitenge ni kurudia tu mavazi,nahisi hata nguo za ndani atakuwa anarudia rudia sana huyu!
Kama kuna mtu amewahi toka naye atujuze kuhusu nguo zake za ndani