Mtangazaji Ivona Kamuntu

Mtangazaji Ivona Kamuntu

Ukimaliza kuchunfuza Azam TV hamia ukachunguze na TBC kuna dada mmoja kila siku habadilishi wigi, kila siku anavaa hilo hilo tu ni mwaka wa kumi sasa...
 
Labda anazo nyingi za aina hiyo kama yule mmiliki wa Facebook anayevaa T-shirt ya kijivu na jins ya blue.
 
CXlc-4lWsAAsVwl.jpg
Wee jamaa una maktaba kubwa eee? Maana kule kwa Mh. Mwambugu umeleta kumbukumbu ya aina yake
 
Nilianza kumpenda punde baada ya kuhamia Azam TV.

Alivyokua star tv nilikua sitaki hata kumuona.

ADRIAN Steff huyu binti amenipata baada ya kuhamia mjengoni Azam TV.
 
Ivona hana makuu.Anapenda maisha ya kawaida.Kuonekana kwenye tv kila siku hakujampa mchecheto wa kuvaa nguo mpya kila siku.Anachukulia kawaida..kinyume na tabia za vidada vingi vinavyopenda maisha ya kuigiza.
 
Wewe Escort 1,Acha ushilawadu,
mdada, amependeza na anatangaza vizuri sana.
Pia, kitenghe ni vazi la heshima kwa Africa.

Kamuntu , vaaa ilo hilo unapendeza Sana.
Tuma salamu kwa watu watatu
 
Mleta Uzi wewe ni mpuuzi kweli,
Labda nikukumbushe tu kuna watu wanashona nguo ya rangi moja,mtindo mmoja kwa wingi kadiri apendavyo.
Mfano jirani yangu utazitambua siku anafua .
Mbona povu limezidi dada?
 
Jamani msema kweli mpenzi wa Mungu....Binti yangu yuko darasa la saba anampenda saana huyu mtangazaji Kamuntu pamoja na Bebi Kabae wa Clouds na anataka kuwaona mubashara.Namuambia mama yake ampeleke pale Azam Tv na Clouds lakini anaogopa.....ipi njia rahisi ya yeye kuwaona....
Acha kuharibu uzi wangu, fungua wakwako.

Wahed mkubwa!
 
mtoa huzi ww ni kilaza kama vilaza wengine, binti anavaa nguo za heshima ww unamtukana ulishazoea wengine wanao vaa nusu uchi km utaki hama kingamuzi.
 
Natamani ningekuwa na uwezo ya kuwaambia wamiliki na wasimamizi wa JF kuweka kumbi za watoto ili tuchague cha kusoma na mahali pa kusoma.Gauni la Ivona Kamuntu linakufanya uwe na cha kuandika na Jamii Forum wanaona huo ni uhuru wa habari
Umefata nini kwenye uzi wa kitoto kama ulivyodai?

Wahed ni wahed tu.
 
Back
Top Bottom