KIHA-sio hayaNampenda sana uyu dada wa kihaya
Unajua kuna ile mtu kupenda kitu fulan so unaweza kuta anayo zaidi ya 5,mbona mm nina Raba zaidi ya 5 sababu ya kuzipenda tuu
Si analipia king'amuzi...maoni yanaruhusiwaWe mwanamme lazima utakuwa pashikuna tu, yaani unafuatilia mpaka gauni la msomaji habari?
Wee jamaa una maktaba kubwa eee? Maana kule kwa Mh. Mwambugu umeleta kumbukumbu ya aina yake
ππππAnayo mengi sema ni aina moja..
Ila tuache utani Ivona kama m cute alivyohamia azam TV Dar ni Dar jamani.
Wakati yupo starTv mie nilikuwa naona kama ana umri wa kustafu.
Acha kuharibu uzi wangu, fungua wakwako.Jamani msema kweli mpenzi wa Mungu....Binti yangu yuko darasa la saba anampenda saana huyu mtangazaji Kamuntu pamoja na Bebi Kabae wa Clouds na anataka kuwaona mubashara.Namuambia mama yake ampeleke pale Azam Tv na Clouds lakini anaogopa.....ipi njia rahisi ya yeye kuwaona....
Umefata nini kwenye uzi wa kitoto kama ulivyodai?Natamani ningekuwa na uwezo ya kuwaambia wamiliki na wasimamizi wa JF kuweka kumbi za watoto ili tuchague cha kusoma na mahali pa kusoma.Gauni la Ivona Kamuntu linakufanya uwe na cha kuandika na Jamii Forum wanaona huo ni uhuru wa habari
Shukran kwa tusi lako.......nina amini 100% utaadhibiwa kwa hilo kama usipotubu kwa MOLA wako muumba wa nchi na mbingu.Acha kuharibu uzi wangu, fungua wakwako.
Wahed mkubwa!