Mtangazaji Jonijoo atoka Wasafi FM/TV na kuhamia ETV/EFM

Kujadiliwa wasafi ndio kuwa brand, hebu acha mahaba yasiyo na faida kwako
Waukae mimi ni digital content creator hivyo hii ni kama sehemu ya kazi yangu.

Watangazaji wenye brand kubwa kama Diva the bawse, Sam Mahela, B dozen, Adam Mchomvu, Millard Ayo, Lil Ommy, Dida Michubuo, Gardner, Mariam wa Migomba, Kitenge n.k huwezi kukosa nyuzi zao humu au post zao kokote unajua kwanini?

Na tuko hapa kumjadili Jonijoo kwa sababu katoka Wasafi (hii pekee ni brand iliyombeba hata Mtiga) alivyokuwa times hakuwa mkubwa ndio maana hatukumjadili na hakujadiliwa kokote.
 
Zuzu huyo, nakumbuka sana hiyo issue hadi nikamwekea misemo ya Jonijoo
 
Nakupeleka shule leo.

Kazi ya presenter inahusiana na personality ya muhusika, kama personality yako ni ya kipuuzi kama Mtu Imara utakosa kazi na kuishia kufungua youtube channel na you will never be a brand ever.
Huna huu uwezo nimeenda shule kusoma Radio programming na sasa niko na Computer engineering.

Hii ni mara ya pili unaleta dharau kwa mtu imara nilikwambia Mtu imara ni content creator vipindi vingi pale Wasafi na ideas zinatoka kwake yule jamaa angu ni genius when it comes to creativity nimefanya nae kazi sehemu.
Siwezi kupoteza muda wangu kuanza kukupa hili darasa maana najua kilichopo kichwani mwako.

Hao wote uliowataja ni "personality" zao ndiyo zimetengeneza brand na wakawa wao kama wao.
Tusichoshane wewe ni zero kwenye hii issue.
Personality ya Millard Ayo iliyomtoa IPP na kumpeleka CMG ni ipi?

Hebu futa makamasi na kubali tu biashara ni ushindani leo Jonijo kapata dau nono kasepa Efm kama ambavyo Ommy alivyotoka times na kwenda wasafi kufata dau nono.
Hili sina shida nalo mimi.

Kama radio inatengeneza brand, Je Mtu imara ni brand? Je Mtu Imara ni brand iliyotengenezwa na wasafi radio???
Personality = Brand
Mtu imara = Digital content creator.
Mtu imara = Creative genius.
Mtu imara = Actor (watu wa DSTV wanamjua wewe na maazam yako angalia tamthilia za kidada)
Mtu imara = Rommy Jones idea.
Mtu imara = Joker.
Mtu imara = IT Specialist.

Weweee buza kama buza.
 
haya tushakusikia kilichobaki muwe mnawalipa mishahara wafanyakazi wenu wa wasafi wengi wanalalamika huku mtaani wengine mpaka kauli wanakosa bye
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kati ya Kosa ambalo Diamond ataendelea kulijutia ni Kuua block 88.9 ! Diamond tangu ameua block 88.9 bado inaonesha wazi The Switch haijaleta chochote kipya! Diamond alikosa washauri


Sent from my iPhone using Tapatalk
Alipaswa kuwalea na kujenga "watu wake" wataoifanya Wasafi kama radio yao. Hao akina Lilommy wameshaji brand na huwezi kuweka vitu vipya na tofauti kwao.

Msingi mkuu wa Clouds si misharaha mizuri au mazingira mazuri sana ya kazi, bali kuishi kama familia na hiyo ilijengwa kabla radio haijaanza.

Kusaga aliunga na Ruge kwasababu ya maono yanayofanana kabla hata ya uwepo wa radio. Lakini pia waliunda team yao mwaka mzima kabla ya kwenda hewani rasmi! Ule mwaka hakuwa wa kupika vipindi tu bali kujenga familia yenye maono ya pamoja.

Clouds walipanda hiyo mbegu kabla kituo hakijaanza na hiyo mbegu wanaridhishana kwa kila generation. Ndio maana hawayumbi.

Wale madogo wa block89 walikosa watu makini kuwasimamia lakini hawakuwa wabovu tena team nzima. Walishaanza kubadili upepo hadi kidizaini vijana wa Clouds walianza ku copy kidogo. Walihitaji muda na usimamizi makini.

Lilommy ni mbunifu, kichwa n.k lakini si uwekezaji makini kwa Wasafi fm labda kwenye TV.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemuacha Dozen hapo mkuu
 
Yule dogo ni kichwa na usishangae Clouds wakajakumchomoa na kumtengeneza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo bango limewaka moto ndiyo maana kipindi kimefutwa.

Usiamishe magoli mzee, combination ya block 89 imefail wameunguza bango.

Hebu vumilia bana haya maswala ya watu kuhama vituo vya radio yapo na yataendelea kuwepo.

NB: mashabiki muwe wakweli watu mnaowapenda wakiwa wanachemka acha kulia-lia Diamond mwenyewe amechukulia ni changamoto atapambana vitapatikana vipindi bora.

🤣🤣🤣ila poolee aisee hii imekuuma mno.
 
🤣🤣🤣🤣 mtu imara umepanic mnoo ila ndiyo hivyoo Bango limeisha Luku.
 
Mimi binafsi kile kipindi nilikuwa sikielewi nilikuwa nawaona kama noise makers, na naendelea kuamini hivyo hadi sasa. Ingawa still nawakubali Aliya na Jonijo kama watangazaji wazuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mdingi Ni wa ajabu Sana unachuki na mtu ambaye hata kuonana nae kwa ujawahi hiv nikuulize kipi kizuri kilichofanywa na diamond umawahi kutoa comment nzuri?
 
Wasafi ilianza vizuri lakini inaharibiwa na usajili..tengeneza base nzuri kwa kuwatumia wakongwe...radio ina shikwa na vipindi vikuu vitatu...Taarifa ya habari...Michezo..then Vipindi vya burudani...wanachokosea wasafi kwanza sina uhakika kama wanae program manager mwenye anayefit nafasi hiyo..kama yupo basi anakosa ubunifu..ukishapata wakongwe watatu kwenye vipindi mhimili hivyo vitatu...then tafuta vipaji vipya ....lipo tatizo jingine lq media za bongo kuigana kwa kila kitu..huwa tunaigana timing ya muda wa vipindi ili kugombania wasikilizaji au watazamaji lakini watangazaji wengi wanaiga mpaka contents za redio au tv shindan mwisho wa siku vipindi vinapyaya vinakosa mvuto..unakuta mtangazaji anataka kuiga mpaka sauti ya mtangazaji wa redio shindani au tv ni ujinga..ubunifu ndo silaha kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…