Mtangazaji Jonijoo atoka Wasafi FM/TV na kuhamia ETV/EFM

Mtangazaji Jonijoo atoka Wasafi FM/TV na kuhamia ETV/EFM

Identity yake ndo kufanya kipindi cha aina moja throughout, kwenye redio tatu tofauti?

As a digital content creator by now you should know creativity siyo kubadilisha maneno Mara Sijui bango blah blah ni kuleta a new thing on the table na watu wakafurahi. Refer to Salama Jabir. From PB, Mkasi to Ngaz kwa Ngaz yes Vyote ni Entertainment lakini amecheza miguu tofauti.

Inawezekana hukunielewa mwanzo but that's what I meant. Akienda Efm alaf akakuta kipindi kama alichokuwa anafanya Wasafi kipo, alafu akakiendeleza without changing Anything kuvutia watu in the name of identity huo ni utopolo.

Alafu nyie mnaojiita content creators wabongo mna kazi gani?
Identiy haiwezi kubadilika.
Huwezi kumchukua Ronaldo ukamchezeshe beki Never ever!

Au Gabriel Zakaria umemtoa RFA anatangaza habari umpeleke TBC akatangaze Zinazokiki.

Salama ni Rude girl toka mwanzo na ndio identity yake
 
Identiy haiwezi kubadilika.
Huwezi kumchukua Ronaldo ukamchezeshe beki Never ever!

Au Gabriel Zakari umemtoa RFA anatangaza habari umpeleke TBC akatangaze Zinazokiki

Umetoa maelezo irrelevant Sana. Mimi nilisema kwa upande wa Entertainment. Ndo maaana nikakutajia Salama jabir ambaye harakati zake znaendana na Joni sikukutolea wa mfano Harris Kapiga mkuu.

The Truth is we need new stuffs in the industry something which most presenters bongo including Jonijo hawana. Ni Kuhama vituo tu bringing with them same old materials.

Salama ni rude girl yeah lakini anashift. Analeta new things. Am not saying wabadilishe their personality no naongelea content hapa
 
Wasaf niradio ya watu washamba + watangazaji wao wazee Jonijoo yuko sahii .
 
Kusema ukweli kati ya ujinga ulishawai fanywa mbele ya Diamond wa wazi kabisa ni huu wa kuua kipindi cha block 88.9i vijana hawa ndio walikuwa msingi mkubwa wa wasafi!

Diamond amekurupuka kukiua hicho kipindi ....


Sent from my iPhone using Tapatalk
Wale ndio walikuwa brand ya wasafi. Kwasasa anaonekana anatapa tu. Wengine tulikuwa tunawasikiliza wale madogo tuone version mpya za generation hii na tukiamini diamond amejipanga kuleta timu mpya na changa kuleta changamoto. Mantiki ya kuua Block89 na kuleta The Switch ni move mbovu!

Mbaya zaidi nimeona hata kipindi cha asubuhi kaharibu, wale hawawezi kuwatikisa power breakfast! Vipindi vya michezo ndio amepatia na hasa timing kidogo wakubwa wametikiswa. Ila ile radio bado ina safari ndefu sana na ameanza kuharibu njia zake mwenyewe ambazo alianza vizuri.

Tanzania bado saaaaaana radio kushindana na Clouds, bado wanapita mno njia zile zile za Clouds upande wa vipindi. Vipindi vya burudani lazima viwe na lundo la watangazaji. Sijui tatizo ni vipaji hakuna?

Imagine zamani unakuta kipindi kina mtangazaji na DJ kwisha habari na bado wanasumbua au mtu kama John Dilinga anasimama masaa matatu mwenyewe na mji mzima kila chochoro watu wanasikiliza.

Au Ray C anaweza kusimama kwenye Dr Beat mwenyewe na akasepa na kijiji.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale ndio walikuwa brand ya wasafi. Kwasasa anaonekana anatapa tu. Wengine tulikuwa tunawasikiliza wale madogo tuone version mpya za generation hii na tukiamini diamond amejipanga kuleta timu mpya na changa kuleta changamoto. Mantiki ya kuua Block89 na kuleta The Switch ni move mbovu!

Mbaya zaidi nimeona hata kipindi cha asubuhi kaharibu, wale hawawezi kuwatikisa power breakfast! Vipindi vya michezo ndio amepatia na hasa timing kidogo wakubwa wametikiswa. Ila ile radio bado ina safari ndefu sana na ameanza kuharibu njia zake mwenyewe ambazo alianza vizuri.

Tanzania bado saaaaaana radio kushindana na Clouds, bado wanapita mno njia zile zile za Clouds upande wa vipindi. Vipindi vya burudani lazima viwe na lundo la watangazaji. Sijui tatizo ni vipaji hakuna?

Imagine zamani unakuta kipindi kina mtangazaji na DJ kwisha habari na bado wanasumbua au mtu kama John Dilinga anasimama masaa matatu mwenyewe na mji mzima kila chochoro watu wanasikiliza.

Au Ray C anaweza kusimama kwenye Dr Beat mwenyewe na akasepa na kijiji.



Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Xxl sa hizi ina watangazaji watono, mpaka unashangaa, wakati wanamleta Mina Ally walikua wanawaza nini,
 
Umetoa maelezo irrelevant Sana. Mimi nilisema kwa upande wa Entertainment. Ndo maaana nikakutajia Salama jabir ambaye harakati zake znaendana na Joni sikukutolea wa mfano Harris Kapiga mkuu.

The Truth is we need new stuffs in the industry something which most presenters bongo including Jonijo hawana. Ni Kuhama vituo tu bringing with them same old materials.

Salama ni rude girl yeah lakini anashift. Analeta new things. Am not saying wabadilishe their personality no naongelea content hapa
Yani wewe una utani hii ni taaluma yangu.

Salama hajaajiriwa na mtu yuko huru kutumika na wanaomchukua kwa muda wanavyotaka nitakupa mifano.
  1. Salama kafanya Mkasi chini ya A.Y contents producer alikuwa Mx Carter.
  2. salama kafanya Ngazi kwa Ngazi chini ya A.Y pia na contents alikuwa Mx Carter.
  3. Salama kafanya PB kama muajiriwa wa IPP.
  4. Salama kafanya Saturday sports chini ya premier bet.
  5. Salama kipindi amachokifanya sasa producer ni Mx Carter.
Jonijoo hana pesa za kumuwezesha kuishi kwa kazi za daiwaka kama za Ecejay hivyo media zinamuajiri kufanya kile zinachokitaka chenyewe sio anachokitaka yeye do you got my point?

hao watangazaji wapya unaowataka ni hawapo DSJ na UDSM huko wamejaa kina Adam Mchomvu, Dozen, Jonijoo, Fetty, Salama na hii aina ya utangazaji siku hizi haikimbiliwi sana soko lake limeshuka walioitaka ni wengi mno wako mitaani.
 
Tatizo tuna angalia watangazaji kuliko content ya kitu husika

Hakunaga kitu kigumu Kama kutafuta content na ikabamba inavyotakiwa

Na Kuna baadhi ya nch watu huuza content zao kwa gharama na kuwa trainer kwa wahusika watakao host hicho kipindi

Tatizo kinachotokea media nying zinashindwa kuanzisha zo la host wao na kuanza kutafuta ambao teyar wako katika pik

Hosting Ni

Akili
Sauti

Ufahamu wa Jambo

Mpangilio wa mandhar
Na Aina lugha na mpangilio wa maneno

Kumpata wa kariba hii ndio changamoto na weng wanakimbia gharama za talent search

Kipind hicho salama anamtafuta was kumuachia planet bongo MpakA akapatikana dulla haikuwa Kaz rahisi

Uswaz toka kwa mussa kwa zembwela na Bado kilibamba

Kwa hyo mambo Ni meng wacha wapigane vikumbo ili hali vipaji viko kibao mtaa

kilicho akilini kitumie
 
Mkuu mimi nimetoa mfano tu, labda nikukumbushe Planet Bongo alikuwaga Salama akajaga Dulla lakini maisha yanaendelea pia hakuna sehemu tunaweza pata uhakika kwamba watazamaji au wasikilizaji wamepungua kwa kiasi fulani mimi naamini hata hapo XXL wakiondoka watu Clouds itayumba lakini itasimama sababu sio kwamba hao watu ni irreplaceable hakuna mtu anazidi umaarufu kushinda taasisi mkuu
Unaamini planet Bongo Dullah bado inauzito kama ilivyokuwa ya Salama? Utakuwa una utani mkuu.Planet Bongo ya salama ilikuwa never miss.
Hata XXL ni brand kubwa kwasababu ya combination ya watangazaji, itaendelea kuwepo kwasababu clouds wajanja uwa wanaintroduce watangazaji mapema kabisa kabla wale wakubwa hawajaondoka mfano leo hii akiondoka bdozen watu washazoea kuwasikia wakina perfect, mumy baby na mina ally so haitaleta effect sana na huenda mbeleni wakaongeza wengine pale
 
Mungu na Binadamu,Polisi na Wahuni ,,Tunaishi nao.
BANGO LIMEWASHA TAA.
 
Ukiwafuatilia wahuni watakupa stress,, Kamati ya nidhamu inatujua,,
HATUNA MUDA BABAAKO
 
Katika utumishi wa sekta binafsi ukiona sehemu ulipo hakulipi vizuri basi luksa kuhamia upande wa pili ambako unaona maslahi mazuri regarding tu vipengele vya mkataba vimezingatiwa
 
Elimu elimu elimu. Shule ina nafasi kubwa sana kwenye biashara na maisha kwa ujumla.
Hakika nitaendelea kutoa Lawama zangu kwa Diamond kuacha Jonijo aondoke aisee hii ni hasara kabisa! Hivi kweli Diamond na uwekezaji wote ule amemuacha jonijo kaondoka kweli kabisa Jamani?


Nafikiri Diamond alifanya kosa sana kuua kile kipindi cha block 88.9 aiseee nitashagaa na Calypso akiondoka!

Kwenye hili Diamond kapata hasara maana media yake bado changa aiseee


Naendelea kusema wazi Diamond alikosea sana kuua block 88.9

Sent from my iPhone using Tapatalk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom