Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,212
- 3,093
6.DozenKuna watangazaji Tanzania hii hawahitaji ukubwa wa channel kufuatiliwa, popote wakiwepo wanahama na kijiji chao, wafuatao ni baadhi ya watangazaji hao:
1. Salama Jabir
2. Captain G Habash
3. Maulidi Kitenge
4. Jonijo Babako
5. Millard Ayo
Ukiwa ndio boss wa hawa watangazaji, wachukulie kama maboss wenzako, sio wafanyakazi wako.
Umeandika ukweli 100%....EA TV&Radio wako vizuri mno kwenye kuibua vipaji na kuviendeleza pia!Ndo maana mi nawaelewa sana EATV Radio na TV, yamepita majembe lakini ngoma hadi kesho inabamba tu
Hao hawajawahi kuhama kwenda kwingine6.Dozen
7.Sam Misago kwa mtazamo wangu!
Kama wakihama kwenda media nyingine maboss wao wawe makini pia....kwani nimekwambia wamewahi kuhama!Hao hawajawahi kuhama kwenda kwingine
Wapo watangazaji ambao walikuwa wanavuma kwenye vituo vyao vya mwanzo, walipoamua kuhama wakafutika kwenye ramani. So kuhama na kuendelea kuhit ni mojawapo ya kigezo muhimu kuwa huyo mtangazaji ni potential habebwi na media.Kama wakihama kwenda media nyingine maboss wao wawe makini pia....kwani nimekwambia wamewahi kuhama!
Anaitwa Aaliyahukipata unipe zile za yule white[emoji23][emoji23]..ana dental formula ninayoikubali
Kati ya wale niliokutajia m1 kashahama!!!...Hao hawajawahi kuhama kwenda kwingine
Hahahahaahaaaa sawa mkuu acha tuone huko alikoenda mapokeo ya kipindi chake yatakuwajeKati ya wale niliokutajia m1 kashahama!!!...
Labda watafanya combo Kati ya Saleh jabir+Jonijo+BdozenHahahahaahaaaa sawa mkuu acha tuone huko alikoenda mapokeo ya kipindi chake yatakuwaje
Yametimia mzee Mwamba kasepa.... Wacha tuendelee na wakina perfect!Unaamini planet Bongo Dullah bado inauzito kama ilivyokuwa ya Salama? Utakuwa una utani mkuu.Planet Bongo ya salama ilikuwa never miss.
Hata XXL ni brand kubwa kwasababu ya combination ya watangazaji, itaendelea kuwepo kwasababu clouds wajanja uwa wanaintroduce watangazaji mapema kabisa kabla wale wakubwa hawajaondoka mfano leo hii akiondoka bdozen watu washazoea kuwasikia wakina perfect, mumy baby na mina ally so haitaleta effect sana na huenda mbeleni wakaongeza wengine pale
😃😃Walimdanganya Jamaa wakachukua idea yake ya kipindi cha Now you Know Wakaamishia Bartender Sasa kijana kastuka kakimbia
huyo salehe jabir hamna kitu kapooza sana hajawahi kuwa bora..hafai kutangaza kipindi cha bongo flavourLabda watafanya combo Kati ya Saleh jabir+Jonijo+Bdozen
huyo salehe jabir hamna kitu kapooza sana hajawahi kuwa bora..hafai kutangaza kipindi cha bongo flavour
hamna wa hovyo tu.. mnampaga sifa asizo stahiki.. hamna kitu muleWewe hujui kitu,Salehe Jabir a.k.a kuvichaka ni bonge la redio presenter hapa nchini
Watangazaji bora wakitajwa lazima awemo kwenye listhamna wa hovyo tu.. mnampaga sifa asizo stahiki.. hamna kitu mule
sipingi kwamba anajua sana kuhusu history ya muziki.. but kujuahistory na utangazaji ni mambo mawili tofauti
Upo nyuma sana tv na radio vinafuatiliwa sana hasa radio kuna vimambo vingi sana vinafanyikaDuh hivi Kuna wati bado mnafuatilia tv namna hii!! Mie hata huyo joni simjui kabisaa!
Sent using Jamii Forums mobile app