Mtangazaji Kijah wa radio ya Clouds anasukuma agenda ya nani?

Mtangazaji Kijah wa radio ya Clouds anasukuma agenda ya nani?

hitler2006

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2014
Posts
489
Reaction score
454
1725277386238.jpeg

Ni sawa kuwa na mtazamo tofauti lakini huyu dada wa kipindi cha nyuzi 360 huwa anapenda sana kutetea viongozi hasa pale wanapokua wametoa matamshi tatanishi.

Hata kama ni uchawa huu sasa utakua pro max kwa dada.

Nadhani kipindi hiki hakimfai ni bora atafutiwe kipindi cha udaku au singeli.

Pia soma: Kwani kuna Cheo chochote kile Mtangazaji Babie Kabae anakitaka ndani ya Serikali ya Rais Samia?
 
Ni ngumu sana kumsikiliza mapenzi yameondoq uwezo wake wa kuwaza sawa sawa
 
Mbaya zaidi anaendesha kipindi cha magazeti na mahujiano na watu walioko katika ngazi za maamuzi...
Vipindi kama hivi vinafuatiliwa na watu ambao kimsingi wana uelewa wa issues
Sasa analeta mahaba kwenye media inayopaswa kuwa independent
 
Si inajulikana kuwa Clouds Media Group ni tawi la CCM

Sikumbuki ni lini mara ya mwisho nilisikiliza au kutazama clouds
 
Ni sawa kuwa na mtazamo tofauti lakini huyu dada wa kipindi cha nyuzi 360.

Huwa anapenda sana kutetea viongozi hasa pale wanapokua wametoa matamshi tatanishi.

Hata kama ni uchawa huu sasa utakua pro max kwa dada.

Nadhani kipindi hiki hakimfai ni bora atafutiwe kipindi cha udaku au singeli.
Kambi ya kusini huyo
 
Si inajulikana kuwa Clouds Media Group ni tawi la CCM

Sikumbuki ni lini mara ya mwisho nilisikiliza au kutazama clouds
Mkuu hapa issue si UCCM ila tunawaomba tu hawa watangazaji wawe neutral maana hadhira wanayoiuzia maudhui ina mujumuisho wa watu wote
Wenye vyama na wasio na vyama
 
Mkuu hapa issue si UCCMZ ila tunawaomba tu hawa watangazaji wawe neutral maana hadhira wanayoiuzia maudhui ina mujumuisho wa watu wote
Wenye vyama na wasio na vyama
Mkuu hao watangazaji na media wameshachagua kuwa upande wa CCM

Hawana tofauti na Chanel 10 au TBC suluhisho ni wewe kuachana nao kama unakereka
 
Duh...kumbe kada basi yuko sawa
Ila sasa asifanye kwenye media
Anaonekana mtu wa hovyoo
Maana kuna watu hawana interest na siasa uchwara za Tz
Mkuu inamaana hauoni kabisa kuwa clouds kiujumla ni makada hasa ? Samuel Nathaniel kidogo huwa ndie anajisahau sahau kujionyesha kuwa anaikosoa serikali
 
Ni sawa kuwa na mtazamo tofauti lakini huyu dada wa kipindi cha nyuzi 360.

Huwa anapenda sana kutetea viongozi hasa pale wanapokua wametoa matamshi tatanishi.

Hata kama ni uchawa huu sasa utakua pro max kwa dada.

Nadhani kipindi hiki hakimfai ni bora atafutiwe kipindi cha udaku au singeli.

Uzoefu unaonyesha uDC hupatikana hivyo
 
Tamaa ya madaraka siku hizi imeharibu vijana sasa hata aibu hawana tena wanatumika kama vile vitambaa vya kufutia naniliu...
 
Ni kahaba fulani hivi linatafunwa sana kwa kuutaka uteuzi ila ndio lina damu ya kunguni
😃😂😃😂😃😃😂😂😂😂 Jf haijawahi kuniangusha kwenye ubuyu wewe leta title tu watu wanashuka gazeti.
 
Back
Top Bottom