TIASSA JF-Expert Member Joined Jun 17, 2014 Posts 2,926 Reaction score 3,530 Feb 8, 2017 #61 utangazaji una rushwa sana
G Guasa Ambonii JF-Expert Member Joined Aug 13, 2015 Posts 8,545 Reaction score 10,283 Feb 8, 2017 #62 KikulachoChako said: Unapochunguza ya watu ,utachelewa kufanya yako.... Ya ngoswe aachiwe ngoswe.... Click to expand... Mzee mwenzangu kitambo! kwema? udaku na vitu visivyo na kichwa wala miguu imekuwa ndio mtindo sasa mpaka pana shirika la mambo ambayo ilikuwa tabu sana kujinasibisha nalo leo watu wanaishi kupitia shirika hilo tena marijali kabisa.
KikulachoChako said: Unapochunguza ya watu ,utachelewa kufanya yako.... Ya ngoswe aachiwe ngoswe.... Click to expand... Mzee mwenzangu kitambo! kwema? udaku na vitu visivyo na kichwa wala miguu imekuwa ndio mtindo sasa mpaka pana shirika la mambo ambayo ilikuwa tabu sana kujinasibisha nalo leo watu wanaishi kupitia shirika hilo tena marijali kabisa.
hyusuph JF-Expert Member Joined Dec 5, 2013 Posts 1,655 Reaction score 690 Feb 8, 2017 #63 Benny said: Sio watangazaji wa Moshi FM Wapo tu na maisha yao magumu kupiga mizinga kama traffic Click to expand... Teh teh teh huu utakuwa uchokozi sasa kwa wenyewe
Benny said: Sio watangazaji wa Moshi FM Wapo tu na maisha yao magumu kupiga mizinga kama traffic Click to expand... Teh teh teh huu utakuwa uchokozi sasa kwa wenyewe