Mtangazaji kupanga nyumba ya laki 5 kwa mwezi??

Mtangazaji kupanga nyumba ya laki 5 kwa mwezi??

watakuwa ma vyanzo vingine jamani..si kama wafanyakazi mfano serikalini au hata sekta binafsi wengine mishahara kidg ila wana ishu za nje ya hapo hivyo wanaweza kufanya lolote kwa kuwa mtu anakuwa hategemei mshahara peke yake...hata mie pia nina ishu zangu za nje...mishahara haitoshi wandg..tuwape hongera kwa kujiongeza
 
Mtu akiwa mtangazaji inakuwa rahisi kupata deals nyingine na hata kama ana biashara yake ni rahisi kujulikana mf.born to shine hivyo lazma aingize pesa nyingi maana ni za kila siku....
alafu pia katika masuala ya social networks,huwa wanakuwa wana followers wengi ivyo,hata makampuni yanawapa deals za kuwatangazia kazi zao na pia hata ukaribu wao na wasanii wakubwa unawanufaisha pia.....
Nna shaka pia kama wana matumizi makubwa maana ni mara chache kuwaona katika events kubwa
 
Du kama source za nje za income ni nyingi mbona hawaachi kama DJ Fetty ili wajikite zaidi kwenye biashara? Maana biashara zao ni Boutique,matamasha,MC etc still kuna ma MC nawajua wanapata deal nyingi ila sio watangazaji so wanaweza wakaacha na wakaendeleza uMC.
Mkuu dj fetty kaacha au kaachishwa na yule mzungu aache mwenyewe kwa njaa hii ya bongo si shida hiyo mkuu
 
Mwanaume kufatiria kipato cha mtu mwingine sio kawaida... you have to grow your balls up!!!
 
Mwanaume kufatiria kipato cha mtu mwingine sio kawaida... you have to grow your balls up!!!
Unahitaji Dr wa saikolojia akufanyie kanselingi,hili ni jukwaa la selebritizi huku ni gosipu kwenda mbele kama vipi nenda jukwaa la uchumi ukajifunze kufuga kuku na samaki.
 
wanauza sembe, hakuna cha dili za nje wala nini,,, dili gani bongo hii acheni uongo
 
Unahitaji Dr wa saikolojia akufanyie kanselingi,hili ni jukwaa la selebritizi huku ni gosipu kwenda mbele kama vipi nenda jukwaa la uchumi ukajifunze kufuga kuku na samaki.


akajifunze kufuga kambale kwa kutumia nailoni
 
Back
Top Bottom