TANZIA Mtangazaji Maarufu wa RTD Abissay Stephen amefariki dunia asubuhi hii

TANZIA Mtangazaji Maarufu wa RTD Abissay Stephen amefariki dunia asubuhi hii

Oscar Ulasa nimesikia akitaja jina hili hili

Walikuwa wakijiuliza mchezaji gani wa KMC ametoka mechi kati ya Yanga v KMC

Ulasa akasema 'ahsante sana Abbysai Steven kwa kunisaidia'

Baada ya kumtext mchezaji aliyetoka

Sasa huyo Abbysai Steven ni nani?
Ni kweli hata mimi nalisikia sana hili jina..
 
Back
Top Bottom