Mtangazaji Mahiri

Tugutuke

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
501
Reaction score
166
Habari wana Jf.
Jamani mimi napenda sana utangazaji hasa Tv & Radio Broadcasting. Najijua nina kipaji cha kutosha kutangaza. Sijasomea fani hiyo sehemu yoyote. Kama kuna muhusika humu ndani ya Jf plz naomba anipe chance hiyo. Niko tayari kufanya kazi kwenye kituo cha redio n Tv sehemu yoyote hapa Tz.
I hope sitamwangusha mtu,na atapenda!
Nipeni nafasi jamani.
Niko serious wajameni.
Na niko tayari angalau kufanyiwa testing ya one month for free.
0718651174, 0787638644
 
Kiwango chako cha juu cha elimu ni kipi?
 
msikilizeni jamani kwani siku hizi kusoma ni udhibitisho tuu marifa kwa mkichwa!! Yawezekana jamaa ni jembe sana, na watu wa aina hii ni wakipekee sana, laiti ningekuwa na uwezo ningekutafuta!!
 
Demo tape? Irushe hapa jamvini.
 
tbc umekosa kazi kweli? mbona hawana watu, ebu jaribu uende pale. Ila shauku yako ya kutaka kutangaza Mungu umuweke mbele ili usijikite kutangaza mambo yanayomchukiza.
 
Umepotelea wapi Jeryson kuna maswali ya kujibu kiwango chako cha elimu, ufahamu wa lugha yaani Kiswahili na Kingereza, na Je upo mkoa gani kwa sasa ?
 

Sasa tokea jana ulikuwa unajizungushazungusha nini!? Ooh kazi ya baa siwezi..
 
Kila kazi ina miiko na maadili yake. Sasa kama hujaisomea hiyo kazi si utavurunda bro?
 
Clouse wapo wengi wa aina yako nenda pale,mchonvu nae alisema anakipaji kama wewe..
 
Clouse wapo wengi wa aina yako nenda pale,mchonvu nae alisema anakipaji kama wewe..

clouds naona kama kumejaa vile!
Ntajaribu kuongea na Ruge. Mwenye contacts zake plz.
 
Umepotelea wapi Jeryson kuna maswali ya kujibu kiwango chako cha elimu, ufahamu wa lugha yaani Kiswahili na Kingereza, na Je upo mkoa gani kwa sasa ?

AK-47, nipo tu.
Kuhusu kuelewa lugha,kiswahili na Kiingereza navifahamu tu,kiwango changu cha elimu ni A-Level,
na nipo Mkoa wa Dsm. Ila naweza kwenda mkoa wowote kupiga job.
 
msikilizeni jamani kwani siku hizi kusoma ni udhibitisho tuu marifa kwa mkichwa!! Yawezekana jamaa ni jembe sana, na watu wa aina hii ni wakipekee sana, laiti ningekuwa na uwezo ningekutafuta!!

asante sana mkuu,kwa kunielewa nataka nini!
Be blessed.
 
yaaa siku hizi ni kutuma demo kwanza haitwi mtu bila kusikia sauti yake labda ngoja nikuandalie script usome halafu record weka jamvini hapa ukifanikiwa kusoma vyema nitakuunganisha mahala moja kwa moja! wengi wameshasema wanaweza wakishafika studio wakajaribiwa hata wakishindwa wanalilia ooooh nitajifunza nitaweza!!! hatutaki hiyoooo nitakutumia scripti kupitia pm yako kesho masaa ya mchana halafu uisome na urekodi kwenye any form ingawa nzuri kwenye software yeyote unayoijua ya sauti iwe fruitloop,adobeaudition,pinacle nk!
Ni mdau katika sekta hiyo niliyekata shule Afrika Kusini kwenye tasnia hiyo na kufanya practical pale SABC natambua hata harufu tu ya sauti!!!!
 

Poa poa mkuu! Nitumie halafu nitajirekodi, utanijudge basi.
Asante sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…