Mtangazaji Mahiri

Mtangazaji Mahiri

kila kazi na maadili yake haya mambo ya kuvamia kisa kipaji ndo hawa wana habari walioenda shule wana waita makanjanja, alafu baada ya kuanza kazi eti nae anasema mimi profesional! hehe, kweli? coz najua hata ukiwachukua wale makanjanja wa clouds pale ukiwahoji watakwambia "am a proffesional radio presenter bana" hivi criteria za field fulan au mtu kuitwa ni proffesion mnazijua?

hata kipaji kinahitaji shule ili uwe na ethics za field husika, ushauri wangu kwako jerry peleka kipaji shule then utakuwa pouwa zaidi usije ukawa kama watangazaji wa fm nyingi siku hizi akijua kukopi sauti ya mchomvu na b dozen na musa x prezenta wa EATV wanahisi wanajua hehehe, am not in that field lakini nahsi wakongwe wana habari hawafurahii hizi mambo zenu
 
kila kazi na maadili yake haya mambo ya kuvamia kisa kipaji ndo hawa wana habari walioenda shule wana waita makanjanja, alafu baada ya kuanza kazi eti nae anasema mimi profesional! hehe, kweli? coz najua hata ukiwachukua wale makanjanja wa clouds pale ukiwahoji watakwambia "am a proffesional radio presenter bana" hivi criteria za field fulan au mtu kuitwa ni proffesion mnazijua?

hata kipaji kinahitaji shule ili uwe na ethics za field husika, ushauri wangu kwako jerry peleka kipaji shule then utakuwa pouwa zaidi usije ukawa kama watangazaji wa fm nyingi siku hizi akijua kukopi sauti ya mchomvu na b dozen na musa x prezenta wa EATV wanahisi wanajua hehehe, am not in that field lakini nahsi wakongwe wana habari hawafurahii hizi mambo zenu
mkuu kati ya hoyo majina moja lako nini?
ila kipaji ni kitu muhimu wako wengi kwenye hiyo field hawajasoma kama yule aliyekuwa mchekeshaji ambaye nw yuko eatv.
 
Swali la msingi, unahisi una kipaji cha kutangaza tu kilichoandaliwa (eg habari) au unaweza kuachiwa kipindi cha masaa 2 au zaidi uhangaike nacho mwenyewe bila kuandaliwa na mtu provided unapewa theme ya kipindi?
 
Back
Top Bottom