Mwanamziki wa kweli kweli ni yule anaepiga hela for future ww na sauti yako nzur huna lolote umaarufu mjin PESA
Relax huna haja ya kupanicMwanamziki wa kweli kweli ni yule anaepiga hela for future ww na sauti yako nzur huna lolote umaarufu mjin PESA
Ahsante. .vionjo kama hivi naweza kuvipata wapi. .namkubali sana huyu mzeeJamaa ana kipaji kwa kweli na anaipenda kazi yake. Kionjo:
Wala haina povu post iko barid We muuza nyago [emoji3] [emoji3] [emoji3]Relax huna haja ya kupanic
Anaitwa Ahmed Kipozi...mzuri sana yule mzee.Na yule Mohammed kipozi sijui yupo wap siku hizi
Masoud...Masoud...[HASHTAG]#The[/HASHTAG] legend#
Alikuwa Dj kwa jina Nigger J, miaka ya ujana wake alikuwa na afro hata simba angeweza kujifichaWanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC.
Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji vipindi na uandishi habari kwa ujumla.
Masoud anaelewa ni nini anachofanya na kwa muktadha muafaka.
Ukifuatia simulizi zake kimuziki sio tu zina mizania ya kimantiki bali pia zina mtiririko kama movie fulani hivi inayokushawishi kuendelea kuitazama uone mwisho wake.
Hongera Manju,
MASOUD MASOUD !
Yeah, back in the days.Alikuwa Dj kwa jina Nigger J, miaka ya ujana wake alikuwa na afro hata simba angeweza kujificha
Mkuu Babake alikuwa msaidizi wa ndani wa nyumba moja ya Boss wa kizungu(Mzee Masoud) so walikaa servant quarters enzi hizo mitaa hiyo ya uzunguni Mwadui, Shinyanga so akabenefit kusomea shule ya kizungu na kukulia kwenye jamii hizo za kizungu. Kabila ni mnyamwezi kutoka sikonge Tabora. Kaoa lakini ndoa zake zote hazidumu sijui kama ana watoto (Kuna mengi tusiyoyajua au hayatuhusu nyuma ya pazia kuhusu Manju).Alimwambia salama Jabir kwenye kipindi cha mkasi, alisomea shinyanga kwenye shule iliyokuwa inasomesha watoto wa kizungu waliokuwa kwenye mgodi wa williams enzi hizo na hata mtaa aliokuwa anaishi ni wa kambi za wazungu hao kwa kuwa babake alikuwa bosi mgodini hapo.
π€π€π€π€ππππKaoa lakini ndoa zake zote hazidumu sijui kama ana watoto (Kuna mengi tusiyoyajua au hayatuhusu nyuma ya pazia kuhusu Manju
Sauti yake.......Nilimsikilizila kwenye mahojiano zamani ameowa mara 6 au 8 km sijakosea. Nilishangaa sana.
Yupo vizuri sana na anajua mambo mengi ya mziki na mziki anaujuaWanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC.
Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji vipindi na uandishi habari kwa ujumla.
Masoud anaelewa ni nini anachofanya na kwa muktadha muafaka.
Ukifuatia simulizi zake kimuziki sio tu zina mizania ya kimantiki bali pia zina mtiririko kama movie fulani hivi inayokushawishi kuendelea kuitazama uone mwisho wake.
Hongera Manju,
MASOUD MASOUD !
Kwa Muslims ni kawaida sana, mwanamke au mwanaume kuoa au kuolewa zaidi ya hata mara 5Nilimsikilizila kwenye mahojiano zamani ameowa mara 6 au 8 km sijakosea. Nilishangaa sana.
Sawa mkuuKwa Muslims ni kawaida sana, mwanamke au mwanaume kuoa au kuolewa zaidi ya hata mara