Mtangazaji Masoud Masoud wa TBC

Mtangazaji Masoud Masoud wa TBC

Masoud...Masoud...[HASHTAG]#The[/HASHTAG] legend#
 
Wanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC.

Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji vipindi na uandishi habari kwa ujumla.

Masoud anaelewa ni nini anachofanya na kwa muktadha muafaka.

Ukifuatia simulizi zake kimuziki sio tu zina mizania ya kimantiki bali pia zina mtiririko kama movie fulani hivi inayokushawishi kuendelea kuitazama uone mwisho wake.

Hongera Manju,
MASOUD MASOUD !
Alikuwa Dj kwa jina Nigger J, miaka ya ujana wake alikuwa na afro hata simba angeweza kujificha
 
Alikuwa Dj kwa jina Nigger J, miaka ya ujana wake alikuwa na afro hata simba angeweza kujificha
Yeah, back in the days.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Alimwambia salama Jabir kwenye kipindi cha mkasi, alisomea shinyanga kwenye shule iliyokuwa inasomesha watoto wa kizungu waliokuwa kwenye mgodi wa williams enzi hizo na hata mtaa aliokuwa anaishi ni wa kambi za wazungu hao kwa kuwa babake alikuwa bosi mgodini hapo.
Mkuu Babake alikuwa msaidizi wa ndani wa nyumba moja ya Boss wa kizungu(Mzee Masoud) so walikaa servant quarters enzi hizo mitaa hiyo ya uzunguni Mwadui, Shinyanga so akabenefit kusomea shule ya kizungu na kukulia kwenye jamii hizo za kizungu. Kabila ni mnyamwezi kutoka sikonge Tabora. Kaoa lakini ndoa zake zote hazidumu sijui kama ana watoto (Kuna mengi tusiyoyajua au hayatuhusu nyuma ya pazia kuhusu Manju).
 
Kaoa lakini ndoa zake zote hazidumu sijui kama ana watoto (Kuna mengi tusiyoyajua au hayatuhusu nyuma ya pazia kuhusu Manju
🤔🤔🤔🤔😞😞😞😞
 
Nilimsikilizila kwenye mahojiano zamani ameowa mara 6 au 8 km sijakosea. Nilishangaa sana.
 
Wanamwita manju wa muziki. Huyu ni mtangazaji mkongwe na nguli wa maswala ya muziki na wanamziki, kupitia TBC.

Ukimsikiliza Masoud, utaelewa umuhimu wa specialization katika utangazaji, uandaaji vipindi na uandishi habari kwa ujumla.

Masoud anaelewa ni nini anachofanya na kwa muktadha muafaka.

Ukifuatia simulizi zake kimuziki sio tu zina mizania ya kimantiki bali pia zina mtiririko kama movie fulani hivi inayokushawishi kuendelea kuitazama uone mwisho wake.

Hongera Manju,
MASOUD MASOUD !
Yupo vizuri sana na anajua mambo mengi ya mziki na mziki anaujua
 
Back
Top Bottom