Mtangazaji Maulid Kitenge mwenye Mahaba yasiyojificha na yaliyopitiliza kwa Yanga SC badilika kwani tumekuvumilia vya Kutosha

Ukiachilia mbali unazi wa Simba na Yanga. Hapo nilipo bold brother umechemka sana labda kama hujui maana ya true professional. Kitenge ni mtangazaji wa hovyo kuwahi kutoka, ana sifa sana hafi kuitwa pro.
That is your opinion. Respect mine, I will respect yours.
To me, he is a consumate professional. From RTD, Radio One, EFM and now Wasafi.
 
Nakubaliana na wewe Gentamycine, Kitenge ana ushabiki wa kijinga sana, alifundishwa kazi na Abubakary Liongo, ndio maana Majura hakumpenda sana wakati akiwa Redio One.
 
Tapikaaaaa
Huonii makorokochoo yakoo ya simba kila SIKU humuu
 
Tapikaaaaa
Huonii makorokochoo yakoo ya simba kila SIKU humuu
MOWA tuache utannsimba unaipenda moyoni yaan na UYANGA WANGU NIKISOMA NANII ZETU ZA KARIAKOOO DOH..NAUMIA KIMOYOMOYOOOO

MWACHETU KAKA AWATAPIKIE UWII N SHIDAA MNATUPELEKA KWELI NA HUKU

UPOLKN
 
Heheh! Mtenda akitendewa huisi anaonewa nawe ni Mwandishi wa Habari lakini kila kuchwa unaikandia Yanga kama imekunyang'anya Mke vile. Mshambuliaji endeles kupiga Spana hadi aipate fresh!
 
Kwenye uandishi na utangazaji,ukiona mtu anaonesha unazi wake hadharani,ujue hafai na ni lazima aondolewe kwenye hiyo kazi ili akafundishwe vizuri miiko ya kazi
 
Mimi natamani aendeleze huu ujuba wake ili tujue huko ughaibuni anafuata nini au anaenda kufanywa nini.
 
Mimi natamani aendeleze huu ujuba wake ili tujue huko ughaibuni anafuata nini au anaenda kufanywa nini.
Yawezekana Siku ukijua Kiundani kabisa huko huwa anaenda Kufanywa / Kufanywa nini utamdharau hadi unaingia Kaburini Kwako. Tunamsitiri tu.
 
Wivu wa kike huo.Wewe siyo mwajiri wake anachokifanya Kama ni makosa atakosolewa na muajiri wake vinginevyo Acha wivu fanya yako muache afanye yake
 
Yawezekana Siku ukijua Kiundani kabisa huko huwa anaenda Kufanywa / Kufanywa nini utamdharau hadi unaingia Kaburini Kwako. Tunamsitiri tu.
Wewe ya kwako yakiwekwa wazi na wanaokujua toka ukiwa shule ya Sekondari kule ........ Kumbuka ya kwako ambayo ndiyo tabia yako mpaka Sasa.Acha kupiga mkwara watu,acha watu wawe huru kwenye majukumu yao.Kelele anazopiga Mwarabu wa Nguruka hamzisikii,mkanyeni huyo kabla ya kuwakanya wengine kwanza nyie siyo muajiri wake mnajuaje Kama muajiri wake anapendezwa na kazi yake.Acheni wivu fanyeni ya kwenu msifuatilie maisha ya watu.Uswahili huo tena wa kizamani
 
Kwenye uandishi na utangazaji,ukiona mtu anaonesha unazi wake hadharani,ujue hafai na ni lazima aondolewe kwenye hiyo kazi ili akafundishwe vizuri miiko ya kazi
Wewe siyo muajiri wake.Unakereka na nn? Wabongo bwana ,hivi wewe unafamilia kweli? Acha kufuatilia life ya watu deal na maisha yako.Unataka aongee na kukufurahisha wewe na genge lako,acha hizo nenda kwenye media kaombe na wewe kazi ili ufanye upendavyo wewe Kama anakukera
 
Nakubaliana na wewe Gentamycine, Kitenge ana ushabiki wa kijinga sana, alifundishwa kazi na Abubakary Liongo, ndio maana Majura hakumpenda sana wakati akiwa Redio One.
Hahahaha watangazaji mnaoneana wivu ,maisha haya jamani hatari sana.Nenda kaoge Mto Ugalla ukitoka salama nyota yako itang'aa Kama ya Kitenge
 
CHUKI ZA MASHABIKI WA SIMBA ZILIANZA MAULID KITENGE ALIPOKUWA MC SIKU YA WANANCHI...

Ndio ikawa akisema chochote kuhusu simba ni tatizo hata kama na watangazaji wengine ila...

KUNYA ANYE KUKU, AKINYA BATA KAHARISHA...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…