Mtangazaji Maulid Kitenge Simba SC ilipofungwa na Azam FC uliitangaza wiki nzima, mbona leo huzungumzii kabisa kipigo cha Yanga SC kwa Ihefu FC juzi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tukikuita Mnafiki na Mtangazaji mwenye Chuki na Simba SC na uko very Unprofessional huwa utadhani tunakosea au Kukukosea.

Nina uhakika na ninavyokujua kama Yanga SC yako Juzi ingeifunga Ihefu FC jana usingekwepa kuingia Studioni na ungeitangaza tokea Jana, Leo na Wiki hii nzima.

Haya Ihefu FC wameshatoboa Tundu.
 
Mleta Bandiko acha Kuvunja heshma za watu, Kitenge ni mtangazaji mwenye weredi na mkongwe katika media house, amesha shuhudia na kutangaza mechi ambazo Yanga imekua iki fungwa Kwa nyakati tofauti tena bila mahaba yoyote.

Kitenge anafanya kazi za uandishi wewe bado unachunga Ngo'mbe Sasa hii mitandao isi kufanye uwe bwege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…