Mtangazaji nguli wa BBC ataraji kurudi nyumbani na kujiunga na Azam TV

Mtangazaji nguli wa BBC ataraji kurudi nyumbani na kujiunga na Azam TV

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
Safi sana Tido Mhando kwa kumvuta kijana wako Charles Hilary. Nyumbani ni Nyumbani.

Maulid Kitenge nae....?
 

Attachments

  • IMG_20150403_101509.JPG
    IMG_20150403_101509.JPG
    53.5 KB · Views: 1,724
Kakosea sana kumwacha peke yake salim kikeke.
 
Tido Muhando apewe nafasi ili aifanye Azam Media iwe ni kituo cha mfano...Charles Hillary,karibu nyumbani.HOME IS THE BEST.
 
mmhh... hawa watangazaji wa namna hii sisi wa nini? angemleta salim kikeke au anaangalia watu wa dini yake huyu tido?
 
mmhh... hawa watangazaji wa namna hii sisi wa nini? angemleta salim kikeke au anaangalia watu wa dini yake huyu tido?

kwenye biashara hakuna udini ni uwezo,na jinsi bakresa alivyo mdini mpaka kuwachukua hao ujue imebidi,na wewe unatamani tv yote wawe waislam! uwezo sasa hamna i mean shule na experiance
 
Kuwe na taarifa ya habari kama BBC. WABORESHE.... AZAM IWE MFANO BORA ZAIDI AFRIKA MASHARIKI
 
Karibuni wapendwa wasikilizaji wa radio one stereo katika kipindi cha charanga time utakuwa nami mtangazaji wako chaziii martiniii hilariii(at his tone) hahahaha
 
mmhh... hawa watangazaji wa namna hii sisi wa nini? angemleta salim kikeke au anaangalia watu wa dini yake huyu tido?

Baadhi ya watu mna itikadi za udini sana. Pole sana! Inaonesha hata huujui uwezo wa Charles Hillary. Km ungekuwa umeangalia BBC Swahili jana usiku ungejua kwanin kaamua kustaafu utangazaji BBC na kurudi nyumbani Tanzania
 
mmhh... hawa watangazaji wa namna hii sisi wa nini? angemleta salim kikeke au anaangalia watu wa dini yake huyu tido?

Mbona mnapenda kuhusisha udini kwa kila jambo? Au kichwani hamna hivyo mnategemea dini ziwabebe? SI mwende makanisani au misikitini mkaajiriwe kama mnapenda UDINI.
 
Kweli mijitu imejaa udini tuu nendeni misikitini na makanisani mkapate ajira
 
Back
Top Bottom