Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Jana tulisikia alitaka kuitisha kikao aoe shombe shombe, leo tena kuna mtangazaji kajitokeza ana mimba ya miez 4, sijui wengine tena watajitokeza kama marehemu Kanumba?
RIP Sharo Millionea, tunakuombea ulale salama