Mtangazaji: Nina mimba ya Sharo, mara tena alitaka kuoa shombe shombe, tutasikia mengi

Mtangazaji: Nina mimba ya Sharo, mara tena alitaka kuoa shombe shombe, tutasikia mengi

Yameanza yale yale ya Kanumba.
Hivi hawa makurumbembe wanakuwa wapi kuzinadi hizo mimba zao wahusika wenyewe wakiwa hai?
Kwanini wanangoja hadi wafe ndipo wakimbilie magazetini?
Umaarufu hauji kwa namna hiyo, badilisheni mbinu.
MNAJIDHALILISHA
wenye nazo wanakuwa hawajawaruhusu jamani
 
Mtizamo wangu ni tofauti. Hivi inauma mtu kufa bila kuacha kiumbe na hii inawezekana kuwa faraja kwa ndugu na jamaa waliobaki. Vile vile kwa sie akinamama, huu unakuwa ni wakati wetu mgumu hasa ikizingatiwa kuwa baba wa kiumbe kilicho tumboni ametutoka. Jaribu kuangalia pande zote za shilingi
tehe tehe tehe tehe sasa wewe ullikuwa unatakaje ukisha jitangaza au rambi rambi acha tamaa kwanza mimba nje ya ndoa huo ni uzinzi..ptuuuu
 
Unazini kavu kavu afu unakuja hapa eti una mimba..mbona hata paka wana mimba?hebu mwacheni mtoto wa watu apumzike
 
Back
Top Bottom