the mambas
Member
- Nov 8, 2012
- 21
- 3
.........umenena mkuu..........
Nimeipenda hiyo
Nimeipenda hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wenye nazo wanakuwa hawajawaruhusu jamaniYameanza yale yale ya Kanumba.
Hivi hawa makurumbembe wanakuwa wapi kuzinadi hizo mimba zao wahusika wenyewe wakiwa hai?
Kwanini wanangoja hadi wafe ndipo wakimbilie magazetini?
Umaarufu hauji kwa namna hiyo, badilisheni mbinu.
MNAJIDHALILISHA
wewe umejuaje kama amesoma hii ni post imeletwa hapa acha kutetea ujinga...Umelazimishwa kuyasoma?
Au ushambenga tu?
truu dat mkuuUshambenga ndio nini? hizi lugha za kishangingi tafuta Forums nyingine ya kwenda kuzitumia.
una miaka mingapiWewe nenda Facebook kwa wenzio.
Jukwaa hili halikuhusu.
tehe tehe tehe tehe sasa wewe ullikuwa unatakaje ukisha jitangaza au rambi rambi acha tamaa kwanza mimba nje ya ndoa huo ni uzinzi..ptuuuuMtizamo wangu ni tofauti. Hivi inauma mtu kufa bila kuacha kiumbe na hii inawezekana kuwa faraja kwa ndugu na jamaa waliobaki. Vile vile kwa sie akinamama, huu unakuwa ni wakati wetu mgumu hasa ikizingatiwa kuwa baba wa kiumbe kilicho tumboni ametutoka. Jaribu kuangalia pande zote za shilingi
una miaka mingapi
Unazini kavu kavu afu unakuja hapa eti una mimba..mbona hata paka wana mimba?hebu mwacheni mtoto wa watu apumzike