Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
anaomba rambirambi zisipelekwe Tanga ila apewe yeye akanunue vifaa vya kujifunguliaSo what? Kwahiyo kama una mimba?
Magazeti ya wajinga na wavivu wa kufikiri, hizo ndizo habari pendwa zinazopatikana kwenye magazeti hayo uchwara, usitalajie kukuta upuuzi huu kwenye Magazeti kama Mwananchi, Nipashe na Citizen.
Ushambenga ndio nini? hizi lugha za kishangingi tafuta Forums nyingine ya kwenda kuzitumia.Umelazimishwa kuyasoma?
Au ushambenga tu?
Nalisubiria duh!!huyu sharo atampigia hela shigongo mpaka january, na shigongo naye apeleke baadhi ya hela zinazopatikana katika mauzo ya haya magazeti yake kwa mama sharo. naona dalili Ijumaa la keshokutwa likiandika "SHARO AFUFUKA"
Ushambenga ndio nini? hizi lugha za kishangingi tafuta Forums nyingine ya kwenda kuzitumia.
Una wivu mwenzio kuwa na Mimba eeh?
Panda ukazibe
Sintah type. upuuzi mtupu.Wewe nenda Facebook kwa wenzio.
Jukwaa hili halikuhusu.