Kweli vizuri havidumu, huyu dada alivyokua beutiful kisu haswaa anyway r.i.p
Nimeitoa kwenye magroup huko[emoji1313]
Innalilah wainnaillah rajiun … Aliekua mtangazaji wa Radio Sauti ya Quran Sakina Juma Mshana amefariki dunia
Leo leo hivi sasa mwili wake umewasili katika msikiti wa Maamur upanga kwa ajil ya kumswalia
Endelea kufuatilia 102.1 Radio quran kwa taarifa zaidi
Allah amfutie makosa yake.
View attachment 2604888View attachment 2604890View attachment 2604891
Sent from my TZ255 using
JamiiForums mobile app