barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa anaonekana ni mpenz wa ku dab
Mkuu naomba lift kwenye gari yako.Kwan nyinyi style mnazotumia kutembea nani anawajaji?
Acheni kijana afanye maringo yake bhana Aaaaaaaa.
Anaboa, angalau awe anaifanya basi kidogo, ye anapitiliza!Kwan nyinyi style mnazotumia kutembea nani anawajaji?
Acheni kijana afanye maringo yake bhana Aaaaaaaa.
aaaaaaaaggrŕhhhh!Mwacheni Bro na swaga yake..hiyo sasa ndo inamtofautisha na wengine.. Kwa hiyo na bwana Kivuyo aache kutoa vionjo vyake akireport michezo kisa mmoja au wawili wanakuwa bored? ha ha ha
Yan uwa ananifurahisha sana kivuyoMwacheni Bro na swaga yake..hiyo sasa ndo inamtofautisha na wengine.. Kwa hiyo na bwana Kivuyo aache kutoa vionjo vyake akireport michezo kisa mmoja au wawili wanakuwa bored? ha ha ha
Anaboa, angalau awe anaifanya basi kidogo, ye anapitiliza!
[emoji28] [emoji28] [emoji28]Mimi napenda sana anavyotikisa Kichwa, naweza hata nisisikilize habar nkasubr hicho kichwa tu . . . hiyo ni trade mark yake.
Acheni vijana wetu wafanye mambo, big up Sam
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari zenu!
Kwa kweli unaboa, naona watangazaji wa itv kila mmoja anakuja na 'symbol' yake!
Sam Mahela hii ya kwako inaboa kama ya Georgeeèee Maratoooooo wa aaaaaaaaaaiiiiitiiiiiiiiiiiviiiiiiiiiiiiiii, roryaaaaaaaaaaaam!
Sasa mahela yeye ana yake ya Sam Mahela wa Itv alafu anamalizia kama anadondosha bichwa, bro, unaboa sana! Njoo na symbol ya maana sio kupepesa bichwa!