Mtangazaji Sam Mahela acha kutingisha kichwa unapomaliza kutangaza

Mtangazaji Sam Mahela acha kutingisha kichwa unapomaliza kutangaza

Hacha ujinga yule ni mwanaume mwenzio unataka style ya kaz gan ........omba gemu uone kama atatingisha kichwa
 
Habari zenu!
Kwa kweli unaboa, naona watangazaji wa itv kila mmoja anakuja na 'symbol' yake!
Sam Mahela hii ya kwako inaboa kama ya Georgeeèee Maratoooooo wa aaaaaaaaaaiiiiitiiiiiiiiiiiviiiiiiiiiiiiiii, roryaaaaaaaaaaaam!
Sasa mahela yeye ana yake ya Sam Mahela wa Itv alafu anamalizia kama anadondosha bichwa, bro, unaboa sana! Njoo na symbol ya maana sio kupepesa bichwa!
Hakuna professionalism hapo.
 
Mimi napenda sana anavyotikisa Kichwa, naweza hata nisisikilize habar nkasubr hicho kichwa tu . . . hiyo ni trade mark yake.

Acheni vijana wetu wafanye mambo, big up Sam
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]
 
Habari zenu!
Kwa kweli unaboa, naona watangazaji wa itv kila mmoja anakuja na 'symbol' yake!
Sam Mahela hii ya kwako inaboa kama ya Georgeeèee Maratoooooo wa aaaaaaaaaaiiiiitiiiiiiiiiiiviiiiiiiiiiiiiii, roryaaaaaaaaaaaam!
Sasa mahela yeye ana yake ya Sam Mahela wa Itv alafu anamalizia kama anadondosha bichwa, bro, unaboa sana! Njoo na symbol ya maana sio kupepesa bichwa!
Afadhali umeamua kufunguka huyu jamaa anatafuta sifa za kijinga sana
 
George maratuuuu itviiiiiiiii roryaaaaaaa
Nasikia uyu jamaa mzee Mengi mwenyewe alimwambia george maratu kua aache kusema mimi ni george maratuu itviiiiii tarimeeee
Maratu akasema bora aache kazi lakini sio aache kusema mimi ni george maratuuuuuu itvvvvvvv MARAAAA
Bora ya Georg maratu kuliko huyu wa bashite
 
Back
Top Bottom