Ni wale wale, sijaona tofauti kati yao...cosmetic kufungua nchiKama Magufuli ndiye alikufanya usiisikilize TBC, sasa ni mwaka wa tatu tangu Magufuli adondoke. Mbona hujaipa nafasi TBC chini ya utawala wa mama mfungua nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wale wale, sijaona tofauti kati yao...cosmetic kufungua nchiKama Magufuli ndiye alikufanya usiisikilize TBC, sasa ni mwaka wa tatu tangu Magufuli adondoke. Mbona hujaipa nafasi TBC chini ya utawala wa mama mfungua nchi?
Inasemekena alikuwa kwenye bodi ya TBC iliyotunga neno kabambe la TUNATEKELEZA ili kumsifia JiwePoleni sana wafiwa na wote. RIP
Sijawahi kumsikia maana nina some years tangu niisikilize TBC....tangu Magufuli aingie madarakani sijawahi kuifungua TBC
Taarifa inayosambaa mitandaoni inaeleza kwamba, Mtangazaji wa TBC, Sued Mwinyi amefikwa na Umauti leo, kwenye Hospitali ya Mloganzila ambako alilazwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Apumzike kwa Amani
View attachment 2988858
Allah ampe kauli thabiti na amuepushie adhabu za kabri,ardhi inameza sana ndugu ndugu zanguni, tukumbuke maisha ya duniani ni mafupi ya kaburini ni marefu mno tuache vibri tutendeane wema kama akiba ya kesho tuendako!Taarifa inayosambaa mitandaoni inaeleza kwamba, Mtangazaji wa TBC, Sued Mwinyi amefikwa na Umauti leo, kwenye Hospitali ya Mloganzila ambako alilazwa kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Apumzike kwa Amani
View attachment 2988858
chadema kwa kupiga mdomo kipindi cha misiba hapana kwa kweliInasemekena alikuwa kwenye bodi ya TBC iliyotunga neno kabambe la TUNATEKELEZA ili kumsifia Jiwe
Wahuni wanaiita MachinjioMloganzila napo daah!
Pana Mtangazaji mmoja alikuwa anatangaza Mwanza nae alifariki Mbeya simbubuki jina alikuwa anaweza kutangaza kikosi cha Tipso wa lindanda akiwa anawaona wanatroti tu wenyewe walikua wanasema naona Wachezaji wanapasha misuri joto pale au wanapiga njalamba pale...Ahmed Jongo
Ezekiel Malongo
Halima Mchuka
Sued Mwinyi
Mlifanya matangazo ya mpira na kioinfi cha michezo RTD kuwa moto sana!!
Nazeeka sasa
Pumzikeni kwa amani Ma-Legend
Misiba inaambatana na Wasifu wa Marehemu, hamtakiwi kuwapunja sifa zaochadema kwa kupiga mdomo kipindi cha misiba hapana kwa kweli