Mtangazaji wa Clouds, Diva the Bawse afunguka ya moyoni kuwa hawezi kuzaa kisa matatizo kwenye uzazi

Amenishangaza sana huyu mwanamke...
 
haki waache ujinga
 
Wasanii ni wasanii wa kila kitu hadi maisha, Yaani Mdada aina ya Diva anakosa milioni 14 za Kitanzania kutoka kwa watu wake wa karibu hadi aiweke wazi kiasi hicho. Hivi anajua kuwa kuna watu wana mazito kulio hilo, kuna watu wanauguza miaka 10 sasa. Halafu..................nikaamua kuwatafuta madaktari wa nje ya nchi kujua nafanyaje, with the amount of money sababu kuna kuishi huko , kula, kwa siku kadhaa pamoja na kupata sperm donor hivyo hio amount inaweza kutosha. Guys ntaweka link hapo from gofundme , ili kama unaweza uchangie sababu mimi hizo hela sina siwezi danganya, thats alot of money...............Sawa, pesa kweli anaweza kukosa, sasa anaweze kukosa sperm hadi ahitaji kuchangiwa (Sperm Dona) yaani watu wachangie hadi pesa za kununua mbegu ya mtoto ilhali Watanzania wengi tu wanazo !!! Ina maana hana Mpenzi/Mchumba !!! Hebu kuhusu mbegu za mtoto (sperm) mpeni bure bila kumlipisha jamani.
 
Yaani unahitaji kuwekewa sperm za mtu halafu mimi nikuchangie ili upate mimba kweli????

Then baadae tuanze kuleteana dharau hapa ...

bongo celebrities wanasahau walipotoka baada ya kupiga hatua fulani katika maisha yao....

Ila kiukweli siwezi kuchanga kwa ajili ya shida kama hii ambayo haihatarishi uhai wa mtu ingekuwa ni ugonjwa kama vile anavyoteseka Wastara mtu unajitoa kusaidia ili uokoe uhai na kumpunguzia maumivu ya mwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…