Pumbavu kabisa hili janamke,si hua anasema anahela, anajiitaga level baby,sijui madudu gani,anapesa anaishi apartment ya gharama! Sasa leo hii ndo anakosa USD 7000??? Hizi mbwembwe za kwenye social media,waache,sasa ona anavyoumbuka!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
na sio gali hivyo nadhani ni miliona saba na ushee kama sijakosea
ari ndio nini hiko..?Sasa me nauliza je huyu bint alisema hawezi kuwa na mpenzi ambaye hajui Kiinglish sasa sisi wengine Viben10 tusiefikia level zake buku letu litaleta thaman baadae?
Je? Tunafaa kumchangia?[emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 842397
Sent using Jamii Forums mobile app
Si aliwahi kusema kuwa anayetaka kumposa awe na ml 500, na awe anajua kiingereza, sometime tuwe tunaweka akiba ya maneno coz Mungu ni fundi sana na ni muweza wa yote, anyway pole yake na Mungu amtie nguvumtoto mzuri hivo anakosa dola 7000? hao anaopita nao wanampaga kiasi gani?au wanamkopa
Kumbe hivi ndio alivyoSasa me nauliza je huyu bint alisema hawezi kuwa na mpenzi ambaye hajui Kiinglish sasa sisi wengine Viben10 tusiefikia level zake buku letu litaleta thaman baadae?
Je? Tunafaa kumchangia?[emoji848][emoji848][emoji848]View attachment 842397
Sent using Jamii Forums mobile app