Hee!😔Tusifiche fiche wakuu, huu ugonjwa ni hatari. Ifike wakati tuwche kudanganyanya. Utakunywa dawa ila mwisho wa siku utakuchukua untimely!
View attachment 1039945siri ya kifo aijuae muumba, hapa alikuwa anasimamia wekaji wa mashada ya marehemu ruge, wala hakujua siku 3 mbele zinazofuata mauti ya tamkumba, tunatembea na vifo hakika sisi si lolote wala chochote, Mungu ampe kauli thabiti amina.
Duuu. Pole Sana wafiwa..Pumzika kwa Amani KibondeView attachment 1039947
Habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa mtangazaji maarufu wa Clouds FM Ephraim Kibonde amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 7 Machi 2019.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh Poleni Wafiwa.View attachment 1039947
Habari zilizonifikia hivi punde ni kuwa mtangazaji maarufu wa Clouds FM Ephraim Kibonde amefariki dunia alfajiri ya leo tarehe 7 Machi 2019.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ukiwa Mc hauruhusiwi kufa?