Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Mtoto mkubwa wa kibonde jana usiku alipokua anaupokea mwili wa baba yake airport darView attachment 1040784View attachment 1040785
Poleni sana watoto wa marehemu Mwenyezi Mungu Wape wepesi , katika hiki kipindi kigumu .Mtoto mkubwa wa kibonde jana usiku alipokua anaupokea mwili wa baba yake airport darView attachment 1040784View attachment 1040785
Jamanj inatia huruma..dah..Mungu mpe moyo mkuu huyu kijana jaman
Mbali ya kupima mkuu ni nan hajaguswa kwa namna moja au nyingin kwa huu ugonjwa?hakuna familia ambayo haijaguswa..nashangaa sana yaanMnaomtuhumu kua alikua na ugonjwa Fulani,je nyie mmepima?acheni unyanyapaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyovyote vile ,but on behalf of MagufuliChief comforter H.E. Kassim Majaliwa