TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

GARDNER: TULIPOKWENDA HOSPITAL YA RUFAA MKOANI KAGERA DAWA ALIZOTAKIWA KUMEZA KIBONDE ZILIKOSEKANA "GARDNER

Gardner G habash ameyasema hayo alipohojiwa na kituo cha ITV kua hali ya rafiki yake na mtangazaji mwenzake ephraim kibonde ilibadilika na kuanza kujisikia vibaya walipokua kwenye msiba wa boss wao ruge mkoani kagera.

baada ya kumkimbiza katika hospital ya rufaa wilayani bukoba mkoani hapo dawa alizotakiwa kumeza ili kupata nafuu zilikosekana hospitalini hapo, walizitafuta katika maduka ya dawa bila mafanikio kwani maduka mengi ya dawa mmda huo yalikua yamefungwa..

Ndipo hali yake ikazidi kuwa mbaya wakampeleka mwanza had umauti ulivyomkuta

CHANZO: ITV HABARI 20:00 EAT
 
Gardner G habash ameyasema hayo alipohojiwa na kituo cha ITV kua hali ya rafiki yake na mtangazaji mwenzake ephraim kibonde ilibadilika na kuanza kujisikia vibaya walipokua kwenye msiba wa boss wao ruge mkoani kagera.

baada ya kumkimbiza katika hospital ya rufaa wilayani bukoba mkoani hapo dawa alizotakiwa kumeza ili kupata nafuu zilikosekana hospitalini hapo, walizitafuta katika maduka ya dawa bila mafanikio kwani maduka mengi ya dawa mmda huo yalikua yamefungwa.. Ndipo hali yake ikazidi kuwa mbaya wakampeleka mwanza had umauti ulivyomkuta
Sina shaka na hilo maana hata huyo kibonde alikuwa ni mzee wa kusifia ununuzi wa ndege, hadi akawaponda madoctor wale wakamfungulia uzi humu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polenk sana Clouds. Hamna mwenye wasifu wake tuuone.
 
Ukaghone malafyale, ukaghone ghwa nkajha...

Kyala atupele, Kyala eghile...Kyala mwene atufigwege!
 
Mbinguni hakunaaa biaaaaaaa, tupo hapa tunakunywa biaaaaaa....Haka kawimbo Gadner na Kibonde alikaimba sana wanapomaliza Jahazi na wakitoka hapo wanaingia kitaa kunywa zao biaaaaaa.....

Dah haya banah!
 
Back
Top Bottom