feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Zamu ya watu kunywa bia zakeMbinguni hakuna biaaa,
Ndio maana tuko hapa tunakunywa bia, na siku ukiondoka hapa pia.
Rafiki zako tutakunywa zako bia!
R.I.P Kaka Kibonde!
Sina sababu ya kusikiliza tena Jahazi!
Da! Huzuni sana!
Sent using Jamii Forums mobile app