TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

TANZIA Mtangazaji wa Clouds FM, Ephraim Kibonde afariki dunia. Azikwa makaburi ya Kinondoni,Dar es Salaam

Tangu saa7 mchana nasikia wakipiga nyimbo za maombolezo mchanganyiko na za kawaida ila nyingi ni za kuomboleza. Haikuwa hivyo wakati Ruge alipofariki. Je, wanaonesha kuungana na Clouds juu kumuombolezea Efraim Kobonde?

Jaribu kusikiliza mida hii utakubaliana na mm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo ulichokiona au ndo kila kitu mpk upinge etiii kaka!!!hebu niache miye usijifanye hujaelewa bwanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndiyo hivyo kaka, sisi wengine tuna umakini wa baba nyegere, ambaye hata unyasi tu ukigusa kalio la 'nkewe' basi hudhani anaibiwa, anauvunjavunja na kuliua shina la unyasi husika.

Nenda kaka! Nenda! Nenda kapumzike (Kwa sauti ya Mpoto)
 
Kibonde ni mwana habari wasafi media ni chombo cha habari wapo sawa,,
Tangu saa7 mchana nasikia wakipiga nyimbo za maombolezo mchanganyiko na za kawaida ila nyingi ni za kuomboleza. Haikuwa hivyo wakati Ruge alipofariki. Je, wanaonesha kuungana na Clouds juu kumuombolezea Efraim Kobonde?

Jaribu kusikiliza mida hii utakubaliana na mm

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado na kubwa lao msaga saga! Miwaya haimwachagi mtu salama. Chicken are coming home to roost . Meza ARV kadri utakavyo lakini kuna siku nazo zinazidiwa na virusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msiba mzito na wa kushitua sana!!! haukutarajiwa ........umekuwa ghafla....!!!! Hakika duniani ni mapito tu.... tuacha kuringa na kuchukiana. . . .tutebde mema ya kumpendeza Mungu, tujue hakuna atakaye ishi milele.....tupo hopa duniani kwa muda tu.........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAJUZI WA MAMBO KUNA UKWELI NDANI YA HILI?? .. View attachment 1040085View attachment 1040085
Hata sisi kwetu haturuhusiwi kuchimba kaburi lilale bila kuzika, labda wazee wa maeneo husika wasiwepo, lakini hata kama wazee hawapo haijawahi tokea hivo, watu wanazikwa hata kama kuna mvua ya namna gani, nakumbuka kuna mtu walimzika huku mvua kubwa inanyesha, kazi ilikua ni kutoa maji yaliyokua yanaingia kaburini.
 
Poleni sana wana Familia. Namkumbuka sana kwa kipindi chake cha Nyumba ndiyo Maisha. Pumzika kwa Amani Ndugu Kibonde.
 
Back
Top Bottom