johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Haya kumekucha Mtangazaji wa kudumu wa taarifa ya habari pale Clouds TV Harrison Kapiga amechukua fomu kugombea Ubunge jimbo la Iramba Mashariki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu yupo magharibi sio masharikiDah. bwashee hapo umeua! Msoma habari wa kudumu!
Mwigulu ndio baii baii....
Fuatilia mambo basi. Mwigulu yupo magharibi sio MasharikiKapija au Kapinga..... Huyu nae kamendea Udas wee, mambo yamekataa sasa kaamua akatie nia ili aonekane vizuri,, mtu kama yule mchungaji kule Singida anajua kabisa hawazi kuputishwa na jimbo lenyewe lipo chini ya Mwigulu nchemba.
Huyu ndio yule aliyeanzisha klabu ya usiku ya maombi ?Haya kumekucha Mtangazaji wa kudumu wa taarifa ya habari pale Clouds tv Harrison Kapiga amechukua fomu kugombea ubunge jimbo la Iramba mashariki.
Tumtakie kila la kheri.......bado Pascal Mayalla!
View attachment 1506547
Huyo huyo!Kapija au Kapiga..... Huyu nae kamendea Udas wee, mambo yamekataa sasa kaamua akatie nia ili aonekane vizuri,, mtu kama yule mchungaji kule Singida anajua kabisa hawezi kupitishwa na jimbo lenyewe lipo chini ya Mwigulu nchemba.
Idumu JamiiForumsHuyu ndio yule aliyeanzisha klabu ya usiku ya maombi ?
Hujui kusoma? Wameandika kapiga siyo kapija.Kapija ndiyo nani