Uchaguzi 2020 Mtangazaji wa Clouds, Harrison Kapiga achukua fomu ya Ubunge Iramba Mashariki kupitia CCM

Uchaguzi 2020 Mtangazaji wa Clouds, Harrison Kapiga achukua fomu ya Ubunge Iramba Mashariki kupitia CCM

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Haya kumekucha Mtangazaji wa kudumu wa taarifa ya habari pale Clouds TV Harrison Kapiga amechukua fomu kugombea Ubunge jimbo la Iramba Mashariki.

Kapiga.jpg
 
Huyu Mwamba wa clouds Fm ameona asibaki nyuma. Amejitokeza kuwania ubunge Iramba Mashariki kupitia CCM. Jimbo hili pia ndilo huitwa wilaya ya Mkalama. Sio magharibi kule, huko yupo Mwamba asiyegusika Mwigulu Nchemba.

1594730675567.png
 
Kapija au Kapiga..... Huyu nae kamendea Udas wee, mambo yamekataa sasa kaamua akatie nia ili aonekane vizuri,, mtu kama yule mchungaji kule Singida anajua kabisa hawezi kupitishwa na jimbo lenyewe lipo chini ya Mwigulu nchemba.
 
[QUOTE

Tumtakie kila la kheri.......bado Pascal Mayalla![/QUOTE]

Nyinyi CCM wenzie ndo mumtakie kila la kheri. Otherwise mimi ningependa aambulie aibu tu na arudi kutangaza habari za kuisifu serikali huko mawinguni.
 
Kapija au Kapinga..... Huyu nae kamendea Udas wee, mambo yamekataa sasa kaamua akatie nia ili aonekane vizuri,, mtu kama yule mchungaji kule Singida anajua kabisa hawazi kuputishwa na jimbo lenyewe lipo chini ya Mwigulu nchemba.
Fuatilia mambo basi. Mwigulu yupo magharibi sio Mashariki
 
Jina kamili anaitwa Harris Newman Kapiga ni mzaliwa wa Singida wilaya ya mkarama na amesoma huko shule ya msingi. Anagombea jimbo la Iramba Mashariki.
 
Kapija au Kapiga..... Huyu nae kamendea Udas wee, mambo yamekataa sasa kaamua akatie nia ili aonekane vizuri,, mtu kama yule mchungaji kule Singida anajua kabisa hawezi kupitishwa na jimbo lenyewe lipo chini ya Mwigulu nchemba.
Huyo huyo!
 
Kumekucha
Kila Mtu Apate!!!
Vyeo Vipo Vingi!!
😀😁😊🙄😅😄😏😄😃
Naangalia Nami Nikatie Nia Wapi Chamwino
 
Back
Top Bottom