Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko sio kwa mwigulu, mwigulu yuko magharibi. Mashariki ni Allan KiulaHachomoi kwa mwigulu nchemba huyoo...
Mbona Mnyika na Mbowe hawajawahi kuaribikiwa!Hivi ile tuhuma ya kugawa 'rinda' lake lililovuma Sana muda fulani,haliwezi kuathiri ugombea wake?
Watu bhanaMwaka 2011, niliwahi kusoma humu "eti huyu jamaa ni hoteli"
Ndugu Harris Kapiga
Hujui hata geography ya nchi mkuu. Iramba Kuna majimbo mawili magharibi na mashariki.Dah. bwashee hapo umeua! Msoma habari wa kudumu!
Mwigulu ndio baii baii....
Hapo sasa wapinzani wake watapita humohumo.Hivi ile tuhuma ya kugawa 'rinda' lake lililovuma Sana muda fulani,haliwezi kuathiri ugombea wake?
kule shambani hawawezi kujua tuhumu zipo kwenye mitandao tu sidhani kama ina nguvu kiasi hichoHivi ile tuhuma ya kugawa 'rinda' lake lililovuma Sana muda fulani,haliwezi kuathiri ugombea wake?
Watanzania tuna safari ndefu sana. Kwa akili hiziMwigulu ni lulu ndani ya nchi yetu, ni kijana mahiri, mwana CCM, Mzalendo, mchapakazi, jasiri, mpendawatu na mwanamapinduzi.
Tunataka Mwigulu zaidi ya yeye anavyotuhitaji.
[QUOTE
Tumtakie kila la kheri.......bado Pascal Mayalla!
Mwigulu ni lulu ndani ya nchi yetu, ni kijana mahiri, mwana CCM, Mzalendo, mchapakazi, jasiri, mpendawatu na mwanamapinduzi.
Tunataka Mwigulu zaidi ya yeye anavyotuhitaji.